waziri wa miundombinu dk. shukuru kawambwa (wa tatu toka shoto) akikagua stesheni ya mpanda mkoani rukwa muda mfupi kabla treni la abiria kuelekea tabora halijaondoka wikiendi hii. abiria walisikika wakimuomba waziri afanye hima kuboresha hali ya uchakavu wa reli pamoja na mabehewa. picha na mdau peti siyame
Home
Unlabelled
dk. kawambwa akiwa mpanda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Mkuu kawambwa tatizo siyo kutembelea stesheni za reli tatizo ni kuondoa Rites na TRL
ReplyDeleteBongo tambarare. Kila siku matembezi lakini hakionekani wanachokifanya baada ya hayo matembezi.
ReplyDelete