

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kuna mzee alikuwa anaitwa raza alikuwa pale mwenge ni mchoraji mzuri sana je ni baba yake?
ReplyDeletekama ndiye, je bado nae anachora? maana mwaka huu nilikuwa dar nilijaribu kumtafuta sikumpata.
Edna
Asante kaka michuzi kwa kutuletea huyu ndugu yetu.
ReplyDeleteEddy mwana mambo super kinoma nakwaminia.. Kipaji ndugu yangu unacho achana na wanga wasionampango.
All the best mungu atakujalia inshallah
AMIN
Mdau UK
bosi nakutafuta sana , simu yako sina na kila nikija mitaa ya barking sikupsti wala sijajua pa kukupata , ukipata ujumbe niandikie kwenye donmicky@yahoo.co.uk muhimu sana
ReplyDeletekuhusu fani hio nakuaminia, watachoka wao, ma abstract , ma nini wao tu
thx
huyu ni mtoto wa Mzee.Raza wa mwenge, ambaye naye ni mchoraji mahiri sana !.Eddy wasiliana nami kwa mmzushi@yahoo.com.ni muda mrefu sana hatujaonana.
ReplyDeleteNdio mwana wachawi wajinyonge. Rizki atoae ni m.mungu. Wamesiliba mpaka wamechoka na kichaa wangu unatwita. Hamna mungu mtu. Wajipendekeze sasa. Endelea na sisi wajuba tupo nyuma yako kama kawaida.
ReplyDeleteWakati ni huu walitaka ukabebe maboksi hali kipaji unacho. Hongera kubakia na bilivu na kila heri.
Mdau UK