

MOLA AKUJAALIE AFYA NA AMANI KATIKA SIKU HII ADHIMU WEWE NA FAMILIA YAKO PAMOJA NA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI. AMIN
-MICHUZI
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Takabal wahhu minna...
ReplyDeleteahasantee sana bwana michuzi nawe pia idd mbaraka njema na wadau wote walokuwa kila pande leo ni cku ya furaha na amani itawale kwenu. wasalaamm.
ReplyDeleteama kweli ukimcha Mungu kikweli, hukurahisishia mambo yako na kukuruzuku isivyo taraji(wa/ka).
ReplyDeleteSheikh Ismail amesoma dini na alipenda na kufundisha tawhidi (monotheism) na alijiepusha na tamaa kwa kufanya kazi halali (kidini). Walimu wenzake walijikita kwenye falak, uganga, kamari, disko n.k.
Sasa kashawazidi wooote, InshaaLlaah nabado.
Sheikh ismail, Umejaaliwa saana miongoni mwa viumbe wa Mungu, ukifanya istikama na kuepuka kuuza dini na waumini kwa wanasia kama viongozi wengine njaa (kwa visingizio tele) unaweza kukutana na Mtukufu wa daraja na babaye Ibrahim.
ReplyDelete