WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Msakila High School katika Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa wakishiriki katika ujenzi wa uzio wa shule yao kwa njia ya kujitolea leo
MAFUNDI wakijenga daraja lililopo maeneo ya Majengo katika Manuspaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa hivi leo. Daraja hili limeharibiwa vibaya kutoka na mvua kubwa za msimu uliopita na zinazoendelea kunyesha msimu huu katika maeneo mengi mkoani humo.
Picha na mdau wa Rukwa Peti Siyame









Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...