
SWALI: Nini kilikupa hamasa ya kushiriki mashindano haya ya urembo Nchini Tanzania?
NASREEM: Ilikuwa ni hobby yangu na ndoto yangu nilitaka niitimize, sababu kubwa ilikuwa sio tu kuwa malkia wa urembo lakini pia kuwa role model katika jamii inayonizunguka, pamoja na kuwa mwanamitindo mkubwa nchini.
SWALI: Ili mtu awe mrembo anatakiwa afanyeje?
NASREEM: Kila mtu ni mrembo, ni jinsi tu wewe mwenyewe utakavyopendelea kujiweka, ila kuna vitu ambavyo unapaswa kuzingatia kama vile: usafi wako wa mwili, kula vizuri (balance diet), kufanya mazoezi na kuwa nadhifu wakati wote.
Nasreem Karim
Kwa mahojiano kamili
watanzania kwa upofu hawajambo, hapa watashabia sana, lakini hoja za wakina mashaka na january wanaviona kama ujinga vile. tunaelekea wapi, uuza sura na utangazaji pombe vitatupeleka wapi? nasreem amaehapata maisha yake wewe yatakusaidia nini? yanayosemwa na vijana wetu ni ya kukomboa maisha yetu lakini wengine mnageuka kutangaza chuki zeni binafsi. poleni mimi nimepata uraia wa UK watoto wangu hawakanyagi hiyo nchi yenu ya kifisadi na upumbavu. mkae na wakina nasreem na bia za serengeti ziwaokoe, poleni sana, ohh, wakenya pia wanakuja mmoja mmoja
ReplyDeleteKila mtu ni mrembo? Huwa naona urefu, umri, unene, makovu nk vinazingatiwa sana katika fani hiyo. Kwa vigezo vilivyopo mfano miss Tz haiwezekani kila mtu akawa mrembo!
ReplyDeleteTZ ni umiss na pombe ndiyo vinasikika, very sad! aka wanangu Tz hawafiki, wakifika labda for a holiday but not permanent! its a shame a from TZ and I love my country but yaliyoma! ndani mwake in uasherati tu nothing else!
ReplyDeletewewe anon wa Kwanza,umewapa ukweli watz,ndo maana Mkapa alituibiaaaaaaa,then akatuita wavivu wa kufikiri.Sijawahi kuona nchi hapa duniani kama Tz,watu wake ni wabishi,halafu tunapenda sana raha,kushabikia utumbo wa nguruwe.Kitu kama umiss kitapewa umakini kuliko vitu vya maendeleo.Haya bwana,EA inakuja.
ReplyDeleteThu Nov 26, 02:15:00 PM ulimtongoza nasilimun kalimu akakukataa?
ReplyDeleteunajisifia upo UK na familia lkn kichwani ni zero, sijui devidi bekamu,gigsi,runi huwa wanafanya nini, sijui mada zinazoongoza kwa kuwa na maoni mengi buloguni ni za akina nani
ustaarabu kitu cha bure, unaweza ukakaa kimya
ANONY WA KWANZA, HONGERA KWA KUFIKISHA UJUMBE. IT IS SENT AND DELIVAD.WATANZANIA NI WATU WA AJABU SANA NA VIUMBE VYA KUSIKITISHA VINAVYOSHABIKIA uppuzi wa Umiss na ulevi na kukana ukweli na busara kutoka kwa wakina John Mashaka na Dr. Hildebrand Shayo NA HATA MIMI KWA VILE TAYARI NIPO KATIKA NCHI NZURI HURU NA INAYOWAJALI SANA RAIA WAKE, CANADA, NAAPA KWAMBA NAUKANA URAIA WA TANZANIA, PANAPO MAJALIWA MWAKANI. KWA KIFUPI NATUPA PASIPOTI YA TANZANIA NA KUCHUKUA YA CANADA, INGAWA NINA CHAGUO LA KUWANAZO ZOTE MBILI, SITAKUBALI AIBU YA KUJIITA MTANZANIA TENA
ReplyDeleteWATANZANIA WANASHABIKIA FIESTA, MISS REDDS, MISS VDACOM, BUSTA RHYMES KUTUA DAR,NA HATA MAWAZIRI VIJANA NA WAZEE KUUDHURIA NA KUVITAMA VISURA HUKU MAALBINO WANAUWAWA, NA AJABU NI KWAMBA BAADHI YA HAWA MAWAZIRI WANAMILIKI BENDI. YULE PROF.... WAZIRI SI ANAMILIKI BENDI YA TWANGA PEPETA? WALE MAWAZIRI VIJANA WAWILI WENYE VIZARA YA GIZA NA YULE MWENYE WIZARA NYETI WANAKOSAGA KWENYE UMISS?? HAWAKOSI
TBL, SERENGETI IKITANZANGA BIA MPYA, WATANZANIA WANATIRIRIKA UTADHANI KIHAMA KINAKUJA, HUKU HAWANA HATA UMEME, WANATIRIRKIKA HUKU VIPATO VYAO NI SAWA AU CHINI YA WAOSHAA CHOO SAUDI ARABIA?? TUNAELEKEA WAPI WATANZANIA. MBONA TUNARIDHIKA KA UPUMBAVU ALIVYOSEMA MDAU WA KWANZA HAPO JUU?? MAJITU MENGINE YANATOKAGA ULAYA BAADA YA KURUDISHWA NA STAILI AMBAZO NDO ZINAIGWA WAKATI TUNA MILA ZETU, TUNAELEKEA WAPI?
YULE PROFESA KUTOKA LONDONI, DAKITARI SHAYO NA KIJANA WETU MAHIRI KUTOKA WALL-STREET MR. JOHN MASHAKA MASHAKA WAMEKUWA NI CHACHU YA KIZAZI KIPYA, WAMEHAMASISHA KIZAZI ZETU NA MENGINE ANAYOYAANDIKA MASHAKA YAMEKUWA YAKINITOA MACHOZI NIKIIKUKMBUKA NCHI NILIKOZALIWA. HAWA VIJANA INGAWA WANA MAISHA MAZURI AMBAYO WENGI WANAYATAMANI HATA NCHI ZA MAGHARIBI, HAWAJAWA WACHOYO. WAKEMUWA WAKITUHAMASISHA, KUTUPA CHANGAMOTO NA KUTUSIHI KUSHIRIKIANA KUYATATUA MATATIZO YETU, LAKINI NASHANGAA BAADHI YETU WAMEWAJENGEA CHUKI BINAFSI HASA US-BULOGA AMBAYE KAZI YAKE NI MAJIGAMBO
MATOKEO YAKE MANENO YAO YENYE BUSARA YANATOKOMEA GIZANI NA VIJANA WETU WANAPOTEA. HII NI HASARA KUBWA KWA TAIFA. TUTAPOTEZA RASILIMALI KUBWA NA MUHIMU SANA. KWANI VIONGOZI TULIONAO NI WAVIWU NA SELFSH KWA KIWANGO KIKUBWA SANA,WANAYOYAJALI NI MASLAHI YAO WENYEWE NA SIYO MASLAHI YA UMMA. MIMI NAULIZA, JOHN MASHAKA, DR. SHAYO NA JANUARY MAKAMBA WAKISHAPOTEA NA MAWAZO YAO, TUTAELEKEA WAPI?
KWA NINI MSITAMBUE KWAMBA NCHI ZA ULAYA ZINATUSHINDA KWA WASABU WANAO WATU KAMA MASHAKA NA SHAYO WALIO WENGI, AMBAO WANAJALI KESHO KULIKO LEO, KWA NINI TUWAACHIE FAIDA NA RASILIMALI KAMA HIZI
TUHACHANE NA UJINGA, HAO WADADA ZETU WA UMISS HAWATUPELEKI POPOTE BALI NI FAIDA KWA AJILI YA MAKAMPUNI NA VIMWANA WA MAFISADI WALIOIMALIZA NCHI YETU NA WANAOZIDI KUVITAFUTA NCHI YETU. MAALBINO WANAUWAWA, HATUNA UMEME, UMASIKINI, MAGONJWA, UJINGA, RUSHWA NA MENGINEYO YANATUTAFUNA, HUKU MAFISADI YANATEMBEA NA MGARI YA KIFAHARI. HAWAENDI KARIAKOO, NA WAKIENDA WANA BODI GADI ZAO, SISI TUNAKUFA KEKO, NA KWINGINENO. WATANZANIA FUNGUENI MACHO YENU, TUMECHOKA. TUNAWAHITAJI WAKINA MASHAKA NA SHAYO KURUDI KUENDELEZA KUIHAMASISHA TAIFA.
Haya makampuni yasiyokuwa na Dira ya TBL, Serengeti, Zain na mengineyo inabidi tuyasusie,KWA SABABU YANAZIDI KUTURUBUNI NA KULICHAFUA NCHI YETU, SPIKA SITTA NA RAIS WETU NADHANI MNGEANGALIA VYEMA TUNAKOKWENDA ILI VIJANA WETU WANAOPIENDA TANZANIA WARUDISHWE NYUMBANI KWA MANUFAA YA UMMA
mwenyeuchungu (FARIDAH)CANADA
mwanangu akiwa miss namkana, kwani kazi zao ni kujiuza tu hamna lingine, heti wansoma kupitia internet??? Eboooooo
ReplyDeletedada safi safi sana tunakutakia kila heri mwenye wivu ajinyonge na anayejiona yeye ni msafi sana mbele ya Mungu asubiri siku ya kiama aone huo unauona kwamba ni usafi utamsaidia nini siku hiyo kuna watanzania wanajiona wao ni bora kuliko wenzao eti kisa hawanywi pombe na kujifunika mwili mzima kumbe ni wasengenyaji wakubwa,big up bro mithupu,washington dc
ReplyDeleteHii imenigusa sana Mashaka hongera:
ReplyDeletekazi zetu zinatuwezesha kuwatembelea wateja wetu Karibia dunia nzima, lakini hatujawahi kulipwa hata dola moja zaidi ya gharama za chakula na malazi kwasababu ni sehemu ya majukumu ya kazi.Nchini kwetu viongozi wanalipwa zaidi ya milioni arobaini kuhudhuria mikutano nje ya nchi. Ikiwa kampuni yenye thamani ya dola trilioni, haiwezi kuwalipa wafanyakazi wake kuhudhuria mafunzo, Ikiwa nchi tajiri kuliko zote duniani haiwezi kuwalipa wafanyakazi wake kuhudhuria vikao ndani na nje ya nchi, kwanini nchi yenye uchumi mdogo kama Tanzania iwalipe wafanyakazi wake kuhudhuria mikutano na mafunzo huku tunarudi kuomba misaada? Hii ni sawa kumlipa mwanfunzi ili aingie darasani. Hapa akili iko wapi? Hapana shaka ndiyo maana bado tunaishi gizani
Nakubaliana nanyi wadau. Cha ajabu ni kwamba hata ulaya vinakuja na hivyo tabia zao chafu matokeo yake ni kuishia na mapopo. Kuna vimeo na milupo kibao Houston ambavyo kazi zao ni kuuza sura tu, na kuvizia manigeria vikikuona na vijisenti vinakugabda utadhania havina akili vile. Haya mniseme sasa kwa maana mnajijua, vimejichubua kweli , alafu usimeachie bwanako ka mwanya kadogo vichafu kweli, Yakija bongo ndo macelebrity toba nchi hiyo wanangu hawarudi. Ni nchi ya sodoma na gomora,,,, na wala siangallii nikaja nikawa mnara wa chumvi. Vinashabikia ufisadi na uhasherati. Mungu na azidi kuwaadhibu
ReplyDeleteUs Blogger)
ReplyDeleteKareem mie nitakupeleka London au Holywood na private jet yangu ukale maraha ndani ya viota ikiwa huko tayari
vipi tunaweza kubadilishana contacts? Naweza kumtuma pilot hata mwezi wa December , ili mradi tu haujatoka na mtume nabii yohanna mashaka kwani yeye ni nabii wa uongo, na wasichana wengi wanampapatiki wakati Hana hata gari. Siku hizi wallsteet imekauka kwa hiyo kafulia
huyo nabii aliniita mm fisadi kwa sababu aluchajiwa dola kwenya hoteli yangu bagamoyo. Mm naajiti watu 4000 Tanzania na kuwekeza zaidi ya dola millioni 70 wakati mashaka ni porojo tu ndo maana nimemfukuza kwenye blogu tukufu ya jamii. Mafisadi yamemyishia AMAni
Us Blogger
haya mrembo nasreem milango iko wazi tuwasiliane basi
Hii ni interview ya Nasreem sasa swala la mashaka linatokea wapi? Nyie mashaka lovers punguzeni spidi ndo mnaye mkombozi kila mtu anajua , kwa nini mtunyime starehe zetu. Hata Mimi ni shabiki lakini hata siku moja sijachfUa Hali ya hewa kwenye posting za watu. Hichi ni kijiewe cha wote , cha kuburudishia macho na sura za warembo Kama nasreem tukitoka kwenye makali ya kubeba boxi. Kusema kweli nimemizi ze utamu kwani macho yangu yalikuwa yanajiahachia fulu, huku kwa michuzi ni hadi Peter Nalitolela wa Muzumbe aweke commenting ndio nicheke grrrr
ReplyDeleteNyie mtakaa kwenye Giza la John Mashaka hadi lini? Muda mwingine sura zinaleta umeme, Nasreem washa umeme
ReplyDeletenasreem naona umezusha na mashabiki wa mashaka, kazi ipo kweli, kwani wee uuzaga kilimanjaro za TBL?
ReplyDeleteNyie wafuasi wa yohanna Mashaka tulizeni boli,hacheni kuchafua Hali ya hewa, kwani Kareem ndo meneja wa tbl, na wala hajamfukuza mashaka kwenye globu ya jamii , ni mafisadi na usalama wa taifa ndo wamemfukuza
ReplyDeletemashaka Kasema atarudi baada ya muda saa tatizo liko wapi hadi mnakuwa wakali hivyo? Heti watoto wenu hawarudi Tanzania kwani nani anawataka Tanzania anyway????
Kareem hauzi serengeti na wala hamiliki hiyo kampuni nyie walevi,vimbelembele , wapenda makamuzi na vimwana ndo wa kulaumiwa. Punguzeni starehe ndo mumlaumu watu au mumlete huyo nabii wenu awaokoe toka mikononi mwa mashetani yenu. Nasreem ni kifaa, vodacom hoyeee, umiss hoyeee!!!
DADA YANGU AND MY SISTER INLAW NASREEM, INAONEKANA WATU WAMBAO HAWAJASOMA MUZUMBE NDIO WALEVI WANAOONGEAGA PUMBA KILA WAKATI BAADA YA KUNYWA BIYA YETU TUKUFU YA SERENGETI INAYOUZWA NA KAMPUNI MAAUFU YA BIA TANZANIA TANZANIA BRUWARIZ KIMITED YA PALE KARUME. MIMI NAJUA NABII MTUME YOHANNA SIYO MTU WA SIFA, NI MTARATIBU SANA NA MTU MAKINI SANA ANAYEPENDA WATU. ILA MAESTAAFU KWENYE GLOBU YA JAMII BAADA YA MAFISADI KUMFATA NA USALAMA WA TAIFA KWA MAANA WANAMUONA KAMA TISHIO KUBWA SANA KWA SABABU AMESOMA UCHUMI CHUO KIKUU CHA UNIVESITY CHA MUZUMBE COLLEGE KULE MOLOGOLO NA NI SINGO CELEBRITY MWENYE VIJISENTI TOKA WALSTRITI YA HUKO MELEKANI. KWA HIYO WEE USIJALI WAPAMBE WAKE WANAOKANDYA KWAMBA UMISS NI KITU KIBAYA NA WATANZANIA WANAPENDA STAREHEHE NA HAWAWEZI KUWALETA WATOTO WAO KWENYE NCHI YETU YA MAFISADI, WEE PIA KAMA UNATAKA NAWEZA KUKU ENGAGE NA YOHANNA MASHAKA ILI UZAE WATOTO WAKO HUKO WOLSTRITI NAO PIA WAWE KAMA BABA YAO MZUNGNGU MWEUSI AMBAYE AHANDIKAGI KWA KISWAHILI NI KIINGELEZA TU. NABII YOHANNA NI MTU MZULI SANA HANAGA MAJIVUNO KWA HIYO USIOGOPE KWAMBA AMESOMA, KWANI HATA WEWE HUKO MALEKANI UTASOMA ECOMICS YA US-BULOGA YA OFXORD UNIVESITY COLLEGE NA KUPATA KAZI HUKO WOLSTRITI AU WALL-MART NA MACKDONALDS YA HUKO NYUYOKI. ILA DADA YANGU USIWAZE SANA, UKISHANGIA KWENYE GLOBUYA JAMII KUNA WALE WATU WENYE LOHO ZA KOLOSHO AMBAO KILA KITU NI WIVU KWA SABAU UNATEMBEA NA GALI LA VODACOM MISS TZ 2008. WAO HWANA MAGALI KAMA HAYO BECAUSE THEY DID NOT GO TO MUZUMBE AND NO VODACOM PRIZE OF FAMOUS PEOPLE LIKE YOU AND PHOPHET SAINT YOHANNA MASHAKA. SO WE GO TO PRAY AT SAINT ALBAN CHURCH IN DAR TOWN IN WEDDING OF CELEBTI OF FAMOUS YOHANNA MASHAKA THE PRESIDENT OF TANZANIA 2015 AND MISS VODACOM 2008 TO BE HUSBAND AND WIFE, AMEN.USIJALI WAPAMBE WAO WANAHASIRA KWA MAANA NYUMBA ZAO ZIMEKATWA UMEME TANGU TANZANIA IUMBWE. NYIE MTAWASHIA UMEME WA MALEKANI AMBAO HAUKATIKI NA UTA SHOP KWENYE ILE DUKA LA RIYANA NA CHIRIS BWORN NA BRAD PIT NA ANGELINA JLIE KAMA CELEBRITY WA KWELI KWELI NA NABII YOHANNA
ReplyDeletewewe mdau 03:15:00pm jee umemsahau kifimbo cheza aliposema mkataa kwao ni mtumwa!!!
ReplyDeletewatanzania ni malimbukeni ndo maana umiss wa wakina nasreem utatawala kuliko busara za wakina john mashaka.nasreem wala usiwasikie hawa watu wee, endelea faida uliyopata kwenye umiss ni kubwa
ReplyDeleteivi huu ushenzy shenzy wa matangazo ya pombe kupamba nchi yetu tanzania ni nn???
ReplyDeletehakuna jambo linalokera kama hili,ivi hatuna makampuni yenye akili yanayoweza tangaza na kuwawezesha hao wenye TV isipokuwa kuzidi KUDANGANYA NA KUUA wananchi why????
ivi mbona zenji hawana huu upuuzi na mazaga-zaga ayo???
hatuelewi
1.madini yanasaidia nn,
2.vitalu vya utalii,
3.gas,
4.maji tuliyonayo ilhali nchi iko gizani,
5.ufisadi uliokithiri,
6.mara EA na ardhi yetu,
7.mauaji ya albino/vikongwe,
8.udini,
9.siasa zisizoelezeka mara zenji nchi sio nchi,
10.pending kesi mahakamani
inauma saaana kishenzy yani unaweza kuwa kama kipindi cha last Ijumaa "kipima joto" waliongea nkadhani kesho twaingia msituni ili kieleweke sasa
HATUWEZI WAPA FISADIZ WALE NCHI YETU NA HATUKIMBII NCHI TUTAHAKIKISHA SIKU MOJA WANAKIONA!!
ee Jehova yile tusaidie na shughulika na hali hii ya nchi
KUJISIFIA ETI TUMEPATA URAIA WA NCHI FULANI OVYOOOO!!! SO WHAT???? KAENI HUKO WATUMWA NYIE NA KILA MTU ANA HIARI YA KUISHI POPOTE. WENGINE NA UFISADI WETU TUKO BOMBA HAPA HAPA BONGO. TUNAKUJA KUVINJARI HUKO NA KURUDI VILE HATUONI KINACHOWAFANYA NYINYI ETI MJIVUNIE OOH TUKO HUKU NA WATOTO WETU HAWAKANYAGI HUKO. MAWAZO YENU BADO FINYU TU HATA MKAE WAPI UNAWEZA ONA JINSI MNAVYOCHANGIA PUMBA TUPU.
ReplyDeleteNA HATA UKIANGALIA MAKAMPUNI YA BIA TBL AND THE REST WAO NDIYO WANAOANDAA MAMISS NA NDIYO HAWO HAWO WANALALA NAO SAMBAMBA! JAMANI HUU UKIMWI HAUTAACHA MTU HASA TZ NI AJABU KUONA NCHI IKITAWALIWA NA MAKAMPUNI YA BIA! NA SIMU. I HATE MY COUNTRY! VERY MUCH!
ReplyDeleteWajanja hawapondi kwao,grow up ndugu....hata ukipata uraia wa mbinguni yote shida tu hii inatuleta ulaya kutafuta riziki.Nyumbani ni nyumbani.tuelimishane kistaarabu TZ for Life......no matter what!!!!
ReplyDeleteMpiga chabo hapa....
HUYU MZEE UPANDE WA KULIA ANAITWA HASHIMU LUNDENGA NI NOMA,WEMBE BALAA HAACHI KITU KAMA HUAMINI TUULIZE TULIO KUWA KARIBU NAE.
ReplyDeleteMi namuunga sana mkono Farida toka Canada, kwa kweli nchi yetu sasa hivi maisha ni kitandawili,unajiiuliza sijui mtu utokomee,na wengi wanaobana nje si kwamba wanapenda kufanya hivyo lakini ni hali yenyewe tu ya bongo haieleweki,litasemwa hili leo,kesho linafanyika tofauti;umasikini, ujinga na maradhi bado juu! sasa maendeleo yako wapi? leo hii tunajivunia tunaelekea kuwa na teknologia ya hali ya juu ya mawasiliano(fiber optic),hivi inamsaidiaje mkulima wa kule mkuranga?k.m inasaidia kutokomeza umasikini then fine, vinginevyo unaona kabisa jinsi ambavyo nchi itaendelea kuwaneemesha walizonazo tayari na wasikuwa nacho ndo wakae kalagabaho!
ReplyDelete