Mwenyekiti wa serikali ya Kijiji cha Namawala, Kata ya Idete, Wilaya ya Kilombero kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), Zuberi Kapindijega ( wapili kutoka kushoto) akifurahia jambo baada ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Issa Machinya , ( wakanza kushoto) kusikiliza kero za wakazi wa kijiji hicho ukiwemo wa mgogoro wa ardhi na mwekezaji wa mashamba ya Luipa. Picha na John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. jamani hembu tuweni wastaarabu kidogo na majina ya watu especially hawa wakubwa wetu wa nchi. kumwita mkuu wa mkoa jina kama hilo ni aibu we are not seriuos at all.
    anaitwa kanali mstaafu ISSA MACHIBYA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...