
MZEE ABUSHIRI KILUNGO (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO NYUMBANI KWAKE TANDIKA,MTAA WA KIVUNGO BAADA YA KUUGUA UGONJWA WA KISUKARI KWA MUDA MREFU.
MAREHEMU KILUNGO AMBAYE ALIWAHI KUWA NAIBU MEYA WA JIJI LA DAR ES SALAAM MIAKA YA NYUMA NA PIA ALIWAHI KUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHA SOKA MKOA WA DAR (DRFA).
MAREHEMU KILUNGO AMEACHA MKE NA WATOTO WATANO WATATU WAKIWA NI WA KIUME NA WAWILI WA KIKE.MAZISHI YATAFANYIKA LEO (17/11/2009) SHAMBANI KWAKE TUANGOMA,NJE KIDOGO YA JIJI LA DAR.
TUNAMUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MZEE WETU ABUSHIRI KILUNGO MAHALI PEMA PEPONI
-AMIN
R.I.P
ReplyDeleteMwenyezi Mungu amlaze mahari pema
merehemu Bushiri Kilungo,marehemu Chitete,kaka Kapera,Bona Max,Shaaban "Pacho" Ramadhani wa Navy Zanzibar na balozi Cisco Mtiro tumekuwa na kucheza mpira pamoja tokea tuna umri wa miaka mitano mwembe yanga Tandika,kifo chake kwa ugonjwa uliyomsumbua miaka mingi ni masikitiko makubwa saana katika maisha yangu.
Mickey Jones-Denmark
R.I.P You will always be remembered for your kind heart. you were always ready to help when it was within you ability.
ReplyDeleteInnalillah Wainna Lillahi Rajiooon.
nyerere wa tandika!!INNA LILAHI WAINA LILLAH RAJIUN..
ReplyDeleteULIKUA MTU MUHIMU SANA KWETU MAJIRANI ZAKO ..
MATURUBAI ULIWEZA KUTUPA BURE WAKATI WA MISIBA.
Hey poleni familia ya abushiri kilungo,tulikwa naye Alaf na msemo wake"eee bwanaeee"
ReplyDeleterip Kllungo