Waandishi waandamizi wa kampuni ya TSN ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Dailynews na Habari Leo wakiwa na furaha wakati wa kukata keki yao ya pongezi baada ya kudaka nondozzzz zao katika mahafali ya 21 ya chuo kikuu huria Tanzania(OUT) wikiendi ilopita. Kutoka kushoto ni Maulid Ahmed, Stellah Nyemenohi na Jamilah Kilahama. Wengine ni ndugu zao waliofika kuwapongeza.
Home
Unlabelled
nondozzzzz TSN
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hongereni waandishi kwa kujiongezea maarifa. Dunia ya sasa mwandishi bila digrii ni sawa na kutwanga matope. Tumekuwa tukipata tabu kweli inapotokea kuhojiwa na mwandishi asiye na uelewa wa mambo. Badala yake, wakati mwingine huwa tunajikuta katika maofisi, tunaanza kuwaelimisha waandishi hata mambo ya kawaida ambayo walipaswa wayafahamu.
ReplyDeleteNawapongeza hawa mabinti. nao wasiishie kidigrii waendelee hadi PhD
Big up Maulid! aim for higher credentials. You are still young.
ReplyDeleteloving sister
maulid hongera sana nimefurahi kukuona kwani tangu tumalize primary hatujaonana. hata hivyo umechelewa kupata degrii nikikumbuka ulivyokuwa na akili sana darasani tena ukituwacha nyuma wasichana wote na hata midume, sijui kwa nini hujakuwa mhasibu maana kwa hesabu sikumbuki kama uliwahi kupata chini ya 90
ReplyDeleteMaulid kuna mwenye namba yake?
ReplyDeletemichuzi naomba namba ya MAULID au unabana?
ReplyDeletewewe unayetaka namba yake wenzio hawaombi hivo kwanza wanajitambulisha majina yote na wanapoishi au kufanya kazi na uhusiano uliokuwa naye. pia weka namba yako wewe ili naye akiiona aweze kukupigia.
ReplyDeleteNyie mnaotaka namba ya simu ya maulid hebu tufafanuklieni mnaitakia nini. Maulid kaolewa jamani msitafute ubaya na watu!
ReplyDeleteMzee Kilasa, habari ya siku bwana. Salamu, na hongera na wifey. Tulifanya kazi pamoja editorial room, newafrica.com. Safi sana, naona mambo siyo mabaya.
ReplyDeletehongera sana kilasa kwa kumuoa maulid maana ulikuwa ukimpenda sana nafurahi kuona umetimiza ndoto yako ila sasa punguza pombe wanawake wazuri hawapendi pombe ukizingatia maulid watu wengi walikwa wakimpenda
ReplyDeletemdau tulikuwa wote sky
nilishindwa elewa MAULID=mwanamme au mwanamke
ReplyDeletekumbe mwanamke??anyway
afu wee kaka,kilasa sura yako km tulikua wote UDSM??