Waziri wa Maji na umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya ( kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa mkemia wa Mabara ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka ya Manispaa ya Morogoro ( MORUWASA) Lide Mwakalukwa ( kulia) katika kituo cha maabara ya kuweka dawa kwenye mfumo wa maji kutoka Bwawa la Mindu linalohudumia zaidi ya asilimia 70 ya wakazi wa Manispaa hiyo wakati alipotembelea wikiendi ilopita.

Waziri wa Maji na umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya ( mwenye miwani ) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka ya Manispaa ya Morogoro ( MORUWASA) , John Mtaita ( wapili kutoka kushoto) jinsi kituo cha maabara cha Mamlaka hiyo kinavyofanya kazi kwenye mfumo wa maji kutoka Bwawa la Mindu linalihudumia zaidi ya asilimia 70 ya wakazi wa Manispaa hiyo wakati alipotembelea. Picha na John Nditi.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...