RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DK. AMANI ABEID KARUME AKIONDOA KIPAZIA KUASHIRIA KUFUNGUWA TAWI LA BANKI YA NMB ZANZIBAR MTAA WA DARAJANI, KUSHOTO MTENDAJI MKUU WA NMB BENN CHRISTIAANSE.
RAIS WA ZANZIBAR DK. AMANI ABNEID KARUME AKIKATA UTEPE KUFUNGUWA RASMINI TAWI LA BANKI YA NMB ZANZIBAR
RAIS WA ZANZIBAR DK. AMANI ABNEID KARUME AKIKATA UTEPE KUFUNGUWA RASMINI TAWI LA BANKI YA NMB ZANZIBAR
RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DK. AMANI ABEID KARUME AKIMKABIDHI MPIRA MWANAFUNZI WA SKULI YA KAJIFICHENI YUNUS RAMADHANI KWA NIABA YA WANAFUNZI WA MKOA WA MJINI. KATIKA SHEREHE ZA KUZINDUWA TAWI LA BANKI YA NMB.
Ugonjwa gani huu wa watanzania kila mtu kujiita Dr? Wengine siku hizi naona eti Engineer fulani...! Mbona huku juu kuna Maprofessor wenye Nobel Prize lakini bado hawaitwi Dr, Professor kabla ya majina yao? Mainjinia wa NASA hawaitwi Engineer fulani fulani. Wanaitwa moja kwa moja tu kwa majina yao. Huu utamaduni wa kujitukuza ndio unafanya watu wengine hata wanunue vyeti. Tumekuwa obssessed mno na hizi prefix. U-dr uko kichwani mwa mtu, na wala si kwenye jina la mtu. Michuzi, u-dr wa heshima hautumiki kwenye jina la mtu. Kama ingekuwa hivyo basi Koffi Anan angekuwa anaitwa Dr Dr Dr Dr Dr Dr Dr Dr Dr Dr Dr Dr etc etc Koffi Anan.
ReplyDeleteMimi kilio changu ni hii sera ya kusumbua wanafunzi wakiwa maskulini.Hizi shughuli za kiserekali za kupokea viongozi, kupelekwa kwenye viwanja kusherehekea mapinduzi na upuuzi mwengine haziwahusu wanafunzi!
ReplyDeleteTAFADHALINI VIONGOZI WAACHENI WANAFUNZI WASOME, MUSISUMBUE SUMBUE!!