
Sauti za Busara ni tamasha la kimataifa ambalo linautambulisha na kuutangaza muziki wa Afrika Mashariki, na ambalo hufanyika katika kila wiki ya pili ya mwezi wa Februari kila mwaka kisiwani Zanzibar.
Kwa habari kamili...
BOFYA HAPA
Mwanamuziki Fresh Jumbe anayeishi na kufanyia kazi zake huko Japan ni mmoja wa Nyota wa kimataifa wataopamba tamasha la sauti za busara mwaka huu. Mcheki kwenye http://freshjumbe.com
BOFYA HAPA

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...