Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe.Samuel Sitta akisalimiana na Naibu katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dr. Asha - Rose Migiro alipomtembelea ofisini kwake, makao makuu ya Umoja huo mjini New York Marekani leo. Spika yupo Jijini New York kuhudhuria Mkutano wa pili wa kamati ya maandali ya mkutano wa Maspika wa Mabunge Duniani utakaofanyika Julai 2010 huko Geneva. Chini wakiwa na Afisa habari wa Bunge Owen Mwandumbya wa Bunge.
Home
Unlabelled
Mh. sitta amtembelea Dk. Migiro New York
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Owen, hebu chukua ndege fasta uje California tule raha kwanza kabla hujarudi Bongo kula vumbi. Niandikie email mtu wangu- Prof. Stanford.
ReplyDeletecomment ikondolewa, maana yake message delivered au?
ReplyDeleteSitta ni mmona wa maspika wanaofanya vema sana duniani kwa maslahi ya wanyonge wa nchi hii. Tuko pamoja mkuu... hata kama wanakupinga, wewe songa mbele kwa umma uko nyuma yako na Mungu ndio kiongozi.
ReplyDeleteZingatia ibada pia.