Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Maneno Mbegu kushoto akimkabidhi Meneja wa Vipindi wa Times FM Radio, Scolastica Mazula hundi yenye thamani ya sh. milioni 5 za udhamini wa Tamasha la Mitikisiko ya Taarabu. Hafla hiyo ilifanyika, Dar es Salaam aja. Anayeshuhudia kulia ni Mwimbaji mkongwe wa taarabu wa Tanzania One Theatre (TOT), Ali Star.
Home
Unlabelled
TBL yamwaga 5m/- kwa Tamasha la Mitikisiko ya Taarabu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
du jamaa kaitolea macho cheki huyu yaani hajawai kuona million tano! he going to drink lots of safaris today ha ha ha.TBL wakigombea Uraisi mwakani watashinda!
ReplyDeleteAlly Star jua linazama, kumbe siku hazigandi!!!!
ReplyDelete