Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. HE WAS GREAT ACTER OF ALL TIME, FOR THOSE WHO GREW IN 1960s TO LATE 1970s I THINK THEY VIVIDLY STILL REMEMBER THIS LAD.

    ReplyDelete
  2. great "actor" na sio "acter" ni kama watu wengi wanasema "Christmass/Xmass" badala ya "Christmas/Xmas"!

    ReplyDelete
  3. Boxing day ni siku ya kufungua zawadi kwenye mabox sio NGUMI.

    Lakini Charlie ni chalii... imenikumbusha mbaliii..

    ReplyDelete
  4. haahaha safi sana

    ReplyDelete
  5. At least he seemed to have a game plan at the begining and the game plan evaporated at later stages of the fight.


    Na wewe mdau wa siku ya kufungua zawadi kwenye maboxi, kamwambie mwalimu wako mwalimu mushi kwamba upuuzi mtupu huo aliokufundisha. Jana nimekula x-mass na wazungu 9, Milgavie, Scotland. Mmatumbi nilikuwa peke yangu nyumbani kwao, na kila mmoja wao alifungua fuko lake la zawadi pale pale, wala hakuna aliyesubiri boxing day.

    Msijifanye mmeyazoea sana mambo yasiyokuwa yenu.

    ReplyDelete
  6. imenikumbusha mission. Kila jumapili jioni padri alikuwa akituonyesha hizo 'moving picture'. Kabla ya kuonyesha alikuwa akilazimisha watu kuingia kwenye misa ya jioni. Tulikuwa tunafichama nje, wakitoka tu kanisani tunajichanganya na kuingia kwenye hall la sinema! Ilikuwa Burudani kwelikweli!!

    ReplyDelete
  7. Je CCM mupo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...