Bendi maarufu ya mziki InAfrika kutoka jijini Dar aka mzizima ya kuzizima imeshatua barani ulaya kwa maoynesho ya msimu
wa baridi wakiwa na kundi la maonesho la Mama Afrika.

Kwa mujibu wa msemaji wa Ngoma Afrika band ambao ndio wanyeji wao, bendi hiyo inatarajiwa kushiriki katika maonyesho ya Mama Afrika yanayozungka ulaya kote na onyesho la kwanza litaanza Ijumaa hii ya tarehe 4/11/2009
mjini Amsterdam,Uholanzi.
bendi hiyo ilitua nchini ujerumani kwa kambi ya mda na sasa wapo mzigoni kuwapa burudani wakazi wa ulaya.
wasikilize Inafrica
hapa:
www.myspace.com/inafrikaband

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Pompi Du nakuona mwanangu.

    Za masiku?

    (US Blogger)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...