mdau kelvin na mai waifu wake gatty wakiselebuka wakati wa mnuso wao ukumbi wa hellenic club jijini wikiendi ilopita baada ya kumeremeta kanisa la St. Alban. Chini wakila keki kwa pamoja kuonesha wao sasa ni mwili mmoja na binadamu hawatenganishi



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. Hongera Dogo.

    Sasa Umekuwa.

    Ila, mbona picha ni passport size? Bibie alikwishavalishwa 'engagement ring' ya asili nini?

    Maisha mema ya ndoa.

    ReplyDelete
  2. Dogo Miwani hata siku ya harusi?

    ReplyDelete
  3. mzeee wa kuchonga hongera sanaaaaaaa, ingawa umeninyima kadi. no sweat

    ReplyDelete
  4. Ushamba huu tutauacha lini jamani?

    ReplyDelete
  5. Hizo ngonjera, ngoja kama baada ya miezi kadhaa kama mtakula keki hivyo.

    Maji ya moto sasa, yatakuwa baridi baadaye. Hivyo muoge mapema.

    ReplyDelete
  6. aaah wanameremeta na rangi zo za chocolate safi sana mungu awabariki katika ndo yenu mko juuuu sura zenu zinaonyesha mnapendana sanaaaaaa hongereni

    ReplyDelete
  7. upendo huu tuuone baada ya miaka kumi ijayo,dada usione mwingine ukamwona jamaa hafai,nawe kaka usione wadada wengine ukamwona mkeo kapitwa na wakati.Endeleeni kupendana,kuheshimiana,na kudhaminiana.Haya mambo matatu yasitoke kwenu,Mungu awabariki.Amen

    ReplyDelete
  8. hongera sana gatty na kelvin, i wish u ol da best ktk ndoa yenu..

    ReplyDelete
  9. hongera sana Ghatty kwa kuolewa. Nakombea kwa Mungu awape afya nzuri na maisha mema.Natamani sana kama ningekuwepo kwenye harusi lakini umbali ndio sababu
    Kila la heri,

    Kaka Godlisten
    Korea.

    ReplyDelete
  10. You all look very sexy. Maintain the same appearance until death seperates you. I wish you the best in your new life.
    LUCY

    ReplyDelete
  11. Hey hongera kaka!
    Lots of wishes.

    ReplyDelete
  12. kaka hongera kaka

    Karibu kwenye klabu

    Dominic

    ReplyDelete
  13. Congratulations Kelvin and I wish u & ur wife happy life. Former Shaaban Robert School mate..Cheers!

    ReplyDelete
  14. watu wanaoa kila kukiha ,hivi mie nitaoa lini??lol!!

    ReplyDelete
  15. Hongera kaka wee hongera, na dada pia hongera!

    Sasa umepata wako kaka mahawara na wakome!

    Sasa umepata wako dada mahawara nawakome!

    Mmetuita uwanjani kututangazia sio siku mbili tatu mabegi yako kichwani, eti nimemuona msichana nikampa lift akanionyesha pipi sasa nimenogewa! Sasa umepata wako kaka mahawara na wakome!!

    Leo wamlisha keki kama kinda la njiwa kesho macho juu kama kunguru wa Unguja, sasa umepata wako kaka mahawara na wakome!!

    Eeh ndio iliyobaki sasa kufundana humu humu jando na unyago bloguni tumechoka malalamiko yasiyo na mashiko kila siku.

    Bi Mkora

    ReplyDelete
  16. Hongera sana Mdogo wangu. Mungu hawabariki

    sister US

    ReplyDelete
  17. KAKA hongera sana toka enzi za kina mwalimu kajiru na seba hadi kufika kuchukua JIKO safi sana na hongera sana .tunawatakia mafanikio mema na maisha mema KAZA BUTI DOGO

    ReplyDelete
  18. Hongera Kelvin.

    Welcome to the club.Mungu awajalie maisha mema ya ndoa...Enjoy to the fullest...

    na nyie mnaotoa comments za ajabu mshindwe, sijui watu wanafurahi nini kutoa coments mbaya..

    Kelvin na Gatty mmependeza sana.

    CG (X-Bunge)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...