

kwenye huo mnuso usiku wa kuamkia leo jijini Dar
Mohamed Ilyas akipiga filimbi akiwa na wenzie. Mkongwe huyu ni mmojawapo wa magwiji wachache wa muziki waliosalia na inafaa kuwaenzi na kuwapa heshima inayostahili kwani wamebaki wachache mno kama lulu

Mohammed Ilyas gwiji la muziki nazifagilia sana nyimbo zake.
ReplyDeleteNinampongeza Mzee Mohamed Ilyas kwa kanzi nzuri anayoifanya. Pia nimefurahi kuwaona Kitime, Babu Njenje na Juma Waziri-Kinyaunyau, Kachiri! Ninawasifu kwa kudumisha viwango vya kazi... Ila tunaamini jinsi mnavyozidi kuwa na busara mmeshaanza kuwandaa vijana wa kurithi mipini yenu na vipaaza sauti!
ReplyDeletenimefurahi sana leo kutupa habari za mohd ilyas na ningependa ukatuwekea hata nyimbo zake kwenye galaxy music maana ni wapenzi wa hivyo vitu.
ReplyDeletetunaomba utuweke hivyo vitu vya mohd ilyas kwenye mk galaxy hivyo ni vitu wadimu
ReplyDeletehii ni namna ya kuwaenzi wazee wetu inapendeza sana! pia nilikuwa naomba kuuliza kama nina tatizo na nataka msaada kutoka kwa michuzi nafanyaje? jamani nimehangaika sana nisaidie ili niweze kuomba msaada. nashukuru in advance.
ReplyDeleteNadhani suala sio kuwaenzi watu kwakuwa wamebaki wachache. Utamuenzi jambazi kwakuwa amebaki peke yake? Hoja ya msingi ni kuwaenzi wale wote ambao wana mchango wa kipekee katika jamii yetu. Huyu naye, kama mmojawapo wa watu wa aina hiyo basi anastahili. Huenda ningeshauri kuangalia ni akina nani hao ambao mchago wao, au vipaji vyao katika jamii yetu ni vya kipekee. Kisha basi, kuwaenzi, kuwatuza, na kuhifadhi kazi zao kwa ajili ya vizazi vijavyo
ReplyDeleteVitu vya Mzee wetu Mohammed Ilyas unaweza ukavionja hapa ikisha ukaenda nunua sokoni.
ReplyDeletehttp://www.myspace.com/mohamedilyas
Mdau Holland