
WAKATI HUO HUO YANGA INACHEZA NA SOFAPAKA YA KENYA KWENYE FAINALI YA KOMBE LA TUSKER CUP NESHNO YA ZAMANI KATIKA MCHEZO UNAOTARAJIWA WA VUTA NIKUVUTE. KAMA KAWA GLOBU YA JAMII ITAKUWA MACHO KUWALETEA KINACHOJIRI. KAA CHONJO.
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Manji ningepata contacts zako, ungeona mbingu zote. Hujui unachokikosa, khalaghabao.
ReplyDeleteHuyu hakuwa na nia ya kuendeleza mpira tangu mwanzo...nia yake ilikuwa ni kushindana na Mengi na kujitafutia umaarufu...hana lolote.
ReplyDeletenimeona comnt yako ntakupata vipi wapi
ReplyDeleteKama kweli uko serious unataka kuona mbingu zote, utatafuta tu namna ya kunipata.
ReplyDeleteBahati mbaya siwezi mwaga contacts zangu hadharani vile naogopa hadi akina 'kajambanani' watanitafuta.
Vinginevyo, wacha ukose bahati.
haki ya nani humu ndani kuna watu wamepinda ha ha haaa acha tu
ReplyDelete