Bro NAKUPONGEZA SANA KWA KAZI YAKO YA KUTUJUZA YALIYOJIRI.

NAOMBA UNISAIDIE KWA KURUSHA HII KWENYE BLOG YAKO, NAMTAFUTA KAKA YANGU AITWAYE RAYMOND FRED MTOI TULIACHANA NAYE MWAKA 2000 ALIPOONDOKA KWENDA UK KWA MASOMO.
TULIWASILIANA KWA KIPINDI KIFUPI TU MARA BAADA YA KUFIKA HUKO UK THEN MAWASILIANO YAKAKATIKA MPAKA SASA SINA MAWASILIANO NAY. TAFADHALI KAMA KUNA MTU ANAYEMFAHAMU NA ANA CONTACT ZAKE AU KAMA MWENYEWE ATABAHATIKA KUSOMA BLOG HII NAOMBA AWASILIANE NAMI KWA e-mail hii nelangwa@yahoo.com

NI MIMI NAPENDAEL E.J.
MDAU EA DAR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. huyo aliamua tuu kukuchunia kwa makusudi wengi wao ndo zao wanaamua kukuchunia laivu

    ReplyDelete
  2. Fredy Mtoi kwasasa anatangaza BBC idhaa ya kiswahili, jaribu kuwasiliana na BBC Swahili watakupa contact zake, au wasiliana naye kupitia familia yake iliyoko TABATA Dar es Salaam
    Ni hayo tu natumaini utampata tu kwani ni mtu maarufu.

    ReplyDelete
  3. Kwa sasa yupo Idhaa ya Kiswahili ya BBC, UK.

    ReplyDelete
  4. Wewe unamtafuta Raymond Fredy Mtoi au unamaanisha Fredy Mtoi aliyeko BBC lONDON?
    Kama ni Fredy Mtoi basi wasiliana na Idhaa ya Kiswahili pale London.
    Kwamimi ninavyomjua ni jamaa poa sana hana makuu very humble guy and simple guy, hawezi kumchunia mtu.
    Ni kati ya vijana wakarimu sana ninaowajua.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...