Kwako Issa michuzi
Naomba uniwasilishie ombi hili kwa wadau wabongom popote duniani.
Naomba kujua maneno ya kilingala yanayoimbwa katika wimbo wa kiongo ulioimbwa na Maquis du Zaire.
Wanasema ' nasengi yo nyoso bolingo ...............................mama.
sina ubaya na wewe samahani mama kiongo'
Hapo kwenye dash dash ndipo nataka kujua wanasema nini.
Mimi na bendi yetu ya muziki wa dansi hapa London tunataka kuanza kuuimba wimbo huu katika show zetu.
Msaada wenu ni muhimu sana kwetu.
Mdau Asa
Naomba uniwasilishie ombi hili kwa wadau wabongom popote duniani.
Naomba kujua maneno ya kilingala yanayoimbwa katika wimbo wa kiongo ulioimbwa na Maquis du Zaire.
Wanasema ' nasengi yo nyoso bolingo ...............................mama.
sina ubaya na wewe samahani mama kiongo'
Hapo kwenye dash dash ndipo nataka kujua wanasema nini.
Mimi na bendi yetu ya muziki wa dansi hapa London tunataka kuanza kuuimba wimbo huu katika show zetu.
Msaada wenu ni muhimu sana kwetu.
Mdau Asa
London
ndenge zali kosala na baneko nagai papaa
ReplyDeleteNyie mnaotaka kuuimba huo wimbo mnayo haki miliki au mnataka kujiimbia tu kwa kujiona mnaweza kuimba? Au kwa kuwa mdau mmoja kafungwa? Mkiwaomba haki ya kuutumia hata huo mstari watawaelekeza unaimbwaje. Heshimuni jasho la watu jamani.
ReplyDeleteWe ukiona vipi Tunga tu maneno yako ukipenda unaweza kuita Remix!!!
ReplyDeletesiufahamu wimbo huu lakini ni rahisi kupata maneno ya nyimbo za kikongo/kilingala kwa kusikiliza kipande hicho kwa kurudia rudia. kwa kuwa nia hasa ni kuburudisha (pengine sio kuelewa maana) ukisikiliza kwa kurudiarudia hapo sehemu huku ukiwa na kalamu na karatasi utayapata maneno au hata silabi zinazofanana ama kukaribiana. huwa nafanya hivyo nikiupenda wimbo wa kikongo, ingawaje mie sio mwanamuziki. kilingala kina silabi rahisi kama kiswahili tu. kwa wewe mwanamuziki hii itakuwa rahisi sana. 'mapapa likoloo' (mikono juu- sijui kweli au fix)
ReplyDeleteukitaka mistari ya double-double ya nyiboma nibonyeze tu.
Acha ujinga wewe, ukiona mambo hayaendi weka maneno yoyote ya kimatumbi, wataona sawa tu
ReplyDeletenyokoinyo
Nenda Club Afrique East London kuna wacongo wengi waliokuwa Bongo utapewa tasfsiri hapo hapo London Uingereza.
ReplyDelete..kuuliza si..hivi nini tofauti ya 'haki miliki' na 'hati miliki' (kama ipo..)
ReplyDeleteKusema ukweli jamaa anahitaji msaada wenu, basi badala ya kuleta blah blah kwanini msimsaidie tu??
ReplyDeleteWASILIANA NA BENDI
ReplyDeletewatafute kwenye net, ila huko london kweli huwezi kukutana na mzaire akakwambia ni nini
or tafuta lyrics kama zimo online
mbona unataka kupoteza muda wako, nedna kwenye baa zao ongea vizuri ulizia na labda watakupa na maneno yenyewe yanavyoandikwa na kurekebisha kama una kosa katika uliyaandika wewe hapa
Or tafuta bendi
Mambo haya yanaitaji skills ndugu yangu. develop your skills
Maneno ni haya;
ReplyDeleteNASENGI YO NZOKA BOLINGO KAKE OBETI NGA LIMBISA MAMA
weee kipusa...weka maneno yako tuu hapo.... kama vile ... coco madimbaa bileku ya mpasii.oooooh...si inatisha unataka nini tena nikupe...niutmie email yako nikupe maneno ya kuweka hapo....
ReplyDeletesimpo! tafuta mkongo uk msikilizishe atakuambia hawa wanaozungumzia hati miliki blah blah wasikukatishe tamaa, tunaimba nyimbo kanisani zilizotungwa na watu wengine mbona hatuulizwi hati miliki rubbish kwani unatengenezea album si burudani tu?
ReplyDeletekwa lazima muimbe wimbo huo tu,kama nyie ni wanamziki wa kweli si mngejituma kutunga nyimbo zenu,badala ya kuwa watumwa wa kuiga wakongo,huu ushamba ushamba utawaisha lini?mbona zipo nyimbo nyingi za kale za kiswahili kwa nini?msizitaangaze? kuliko huu ujinga mambo leo.Sasa huko London.Ukerewa nyie ndio mabalozi wa kongo au? ndio tawi la Maquiz.
ReplyDeletekama mabox ya kubeba yamekwisha rudi nyumbani
Heshimuni kazi za wenzenu. Kama hamuwezi tunga nyimbo zenu na mnataka kutumia za wenzenu, watafuteni hao maquiz du zaire, waombeni haki ya kutumia wimbo huo na watawapa mashairi yote. HILO TU NINAWAOMBA.
ReplyDeleteBwana Michuzi naomba tusifagilie wizi. Hii haijakaa sawa baba. Halafu hawa jamaa wapo mamtoni na wanajua kuwa huwezi tumia sanaa ya mtu bila ruksa yake.
wabongo bwana mkiulizwa hiki mna jibu hiki UJINGAA... jibu swali kama hujui nyamaza si UMUCH KNOW MWINGI kuleta blah blah tu. swaine!
ReplyDeletePapaa Stan
Moshi. Tanzania
Aisee Malumbo habari za kazi?mimi sijambo na tegemea na wewe pia,naomba niwasadie Jamaa wa London wameomba msaada
ReplyDeletewa maneno (words) ya Kilingala katika Nyimbo ya KIONGO kupitia blog ya Michuzi,naomba uwakilishe msaada wangu kwao...
Orch. Maquis du Zaire Nyimbo "KIONGO" neno ya Kilingala ni;
NASENGI YO NZOKA BOLINGO KAKE OBETI NGA LIMBISA MAMA
/Wako Maestro Vumbi Dekula
Mimi sijausikia huo wimbo ila maneno uliyotoa tafsiri yake ni kama ifuatavyo:
ReplyDeleteNASENGI- NAOMBA
NYOSO- YOTE
BOLINGO-MAPENZI.
natumaini itakusaidia.
kuiga iga mpaka lini. tunga maneno yenu. kwanza hizo haki miliki UK hakuna. nadhani haka kabendi kwishineni kabisa kama kanashindwa kutunga nyimbo.
ReplyDeletenajua mnataka kuburudisha wabeba maboksi. lakini tungeni zenu. mnatia kinyau nyau humu
Kweli wabongo much Know....na ndo mana adi viongozi wetu wamejaa blah blah
ReplyDeleteMtu kauliza swali,kama una jibu msaidie kama hauna don't waste your time.
Bwana Michuzi,
ReplyDeleteAsante sana kwa kunisaidia ku-post langu la kutaka kujua maneno yaliyoimbwa ktk wimbo huo wa kiongo. nawashukuru sana wadau wote waliochangia mawazo yao ya maana. hasa anony. 12.45 na anony01.54. sisi ktk bendi yetu tunaandika pia nyimbo zetu, na siyo kama anony's wengine walivyodhani. ila ktk fani lazima ujaribu kukubali na kuwaenzi wanamuziki wengine walioonyesha vipaji vyao katika sanaa fulani. na wana maquis ni mojawapo ya bendi zinazostaili kuenziwa. kiuandishi wa muziki na upangiliaji walikuwa moto wa kuotea mbali. sina mengi ila bendi yetu inaitwa 'THE GALAXY BAND' tunapiga kila Jumamosi WEST GREEN TAVERN- Tottenham na jumapili LIVE AND LET LIVE in Forest Gate.
kabla sijasoma wadau ebu nicheke
ReplyDeletehahahahahaaaaaa kwi kwi kwi hahaaa
maana apa leo kazi wal'lai hii blogu idumu milele mchuzi unatupaga raha weweee??
sasa uyu kawaza nini?hhaaaa
kaaazi kweli kweli...njaa izi?
ReplyDelete