Wanafunzi wa shule za msingi za Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, wakiwa katika mashindano ya mbio za mita 800 zilizoandaliwa na Chama cha Riadha cha Manispaa ya Kinondoni kwa ajili ya kusaka na kuendeleza vipaji vya wanariadhaa nyota wa baadae yanayofanyika katika viwanja vya michezo vya Chuo Kikuu cha Dar es salam
Home
Unlabelled
msako wa vipaji vipya katika riadha waanza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-Hivi,hawa wadogo zetu hawawezi pewa gear maalum siku ya mashindano kama hayo?
ReplyDelete-Mtoto wa kike atakimbia vipi comfortably akiwa amevaa sketi ya shule?
-Maoni yangu hayo...
DU!!! wote wanapaa angani, ama wana kipaaji, maonezi haya msichana kwa mvulana.
ReplyDeletesasa wanakimbia peku na soksi mtaumia kuna chupa zimevunjika zinatupwa ovyo misumari miba kokoto kwa mtindo huu ushindi hakuna hata kama ni mazoezi vaeni viatu ka usalama wa ngwato zenu
ReplyDeleteMh! Wengine peku, wengine soks, wengine wana viatu. Bongo tambalale!
ReplyDeleteHuyo dogo aliye mbele mwenye shati jekundu anajua kukimbia. Angalia form yake. Huyo mwenye sare anaweza kufaa kwenye mbio ndefu kama za marathon. Ni wazo zuri, ila tufanyefanye walau wakimbie wamevaa bukta na viatu.
ReplyDelete