Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, George Mkuchika (kulia), akimkabidhi bendera ya taifa nahodha wa timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens), Jackline Sikozi, ambayo inatarajiwa kwenda kushiriki michuano ya kimataifa itakayozishirikisha nchi sita toka Desemba 6 hadi 12 mwaka huu huko Singapore. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.
Home
Unlabelled
taifa queens yaelekea singapore
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hongerani ...netiboli inapanda juu siku hadi siku iko siku mtafika
ReplyDeletekweli netball imenza kurudisha hadhi yake. JK angalia na mchezo huu ili serikali itoe mchango wake
ReplyDeleteKAZENI BUTI MTAFIKA, KAZI NZURI INAONEKANA. TIMU IRUDI BASI NA USHINDI TUTAWAPONGEZA
ReplyDelete