
Promosheni ya shangilia Taifa Stars inaanza kesho kabla timu hiyo kucheza michezo miwili ya kirafiki na timu ya Taifa ya Ivory Cast Januari 4 na 7 jijini Dar.
Ivory Coast inajiandaa na mashindano ya kombe la mataifa huru ya Afrika yanayotarajiwa kuanza mwezi ujao nchini Angola.
Promosheni hiyo itawafanya mashabiki mbalimbali wa soka katika baa mbalimbali kujishindia zawadi mbalimbali na jezi za timu ya Taifa pamoja na tiketi za kuingilia katika michezo hiyo neshno
shangilia stazi kwa lipi la maana walilifanya zaidi ya kuwapa sifa wasizo stahili.
ReplyDeleteVitendo kwanza shangwe baada ya mavuno
Ndio yale yaleee! Nina wasi wasi hawa wanaopost hizi promotion humu katika blog ni viongozi wa TFF au hao Wadhamini. Sasa kama mnatambua umuhimu wa kupost hizi habari humu kwa nini msifungue Websites zenu halafu mkapost hizi habari nasi tukazifuata huko?? Grow up people!!
ReplyDeleteHivi mshabahatika kumuona huyo DIDIER DROGBA hilo jimwili lake au huyo HARUNA DINDANE au TOURE wote wawili mkubwa na mdogo hayo majimwili yao ndio mkawapambanishe na hawa watoto sijui wakubwa wamefanya kudumaa tu loool..siajabu kweli wachezaji wetu wanaujua mpira sana lkn lishe duni sana mm naona sometimes huyu Maximo analaumiwaga bure tu jamani MPIRA NI STAMINA,NGUVU,TAKTIK NA CONDITION BAADA YA KUWA TAYARI UMESHAUJUA.wachezaji wetu vimbaumbau sana bwana tuwe wakweli na ndio maana kama ingelikuwa ngumi tanzania ingebidi icheze na timu za yosso weight ndogo mno
ReplyDelete