


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ulimwengu na hususan nchi nyingi za ulaya ziko mbioni kupigana na vita juu ya matumizi ya Tumbaku na kutumia makampuni ya Tumbaku kuwa wadhamnini wa matamasha na mbio za magari.Leo hii kwetu hawa ndio wamekuwa wadhamini wakuu wa matamasha ya vijana??!Ni janja ya makampuni ya Tumbaku kuwaandaa vijana kuwa watumiaji wakubwa wa Tumbaku na kutangaza vita dhidi ya Afya.Makampuni haya ya Tumbaku na Sigara yamekuwa yakitumia nchi masikini na nyingi nchi za Afrika ili kueneza matumizi ya uvutaji sif=gara na matumizi ya Tumbaku.Kuna Ethical issu hapa ambayo viongozi wengi wa Afrika huenda wana hisa katika bidhaa zinazotokana na Tumbaku au kutokujua madhara ya Tumbaku au kupuuza, wamekuwa wakiwapa mwanya haya makampuni ya Sigara ambayo katika nchi zao asili hawawezi kufanya matangazo yao au kufanya udhamini wa matamasha ya vijana kama tuonavyo hii leo na sisi tunakuwa ni wenye kushabikia.Africa tumekuwa Guinea pig Ulaya mtoto ambaye yuko chini ya miaka 16 hawezi kununua sigara au bidhaa za Tumbaku lakini leo tunaona watoto walio chini wa umri huu wakishirikishwa kwenye matamasha ya kupromote bidhaa hizo za Tumbaku...tuko wapi waafrika?tunapelekwa wapi waafrika??Hatuwezi kufikiria?Wasanii ninyi ndio kioo cha jamii kwa nini msigomee udhamini huuu/au mnajali tu matumbo yenu na umaarufu wenu?Issa Michuzi kaka , tunakuomba uwe unaweka kwenye matangazo yako japo kwa dakika moja tangazo la hasara za utumiaji wa Tumbaku.
ReplyDeleteHebu tungalie hawa wenzetu...http://www.cbsnews.com/stories/2008/02/27/eveningnews/main3884821.shtml
Mwl. Abal Hakam
annon #1 umesema yaliyo moyoni mwangu
ReplyDeleteivi of all kampuni lazima sigara?kweli na ilhali twajua madhara ya sigara kwa mtu?? eeeh kwanini wapewe hii show waidhamini na apo watu wa "marketing" wamemwaga misigara kibao wakiitangaza/kuuza kuua vijana hawa!!!eeh kweli kabisa
nachukia sana huu ujinga wa mikampuni inayoua watu km hii kudhamini shughuli za kijamii
nyambaf
tuige zanzibar