FAMILIA , NDUGU , JAMAA NA MARAFIKI, WANA WAALIKA WATU WOTE KUHUDHURIA KISOMO CHA HITIMA YA BABA YETU SIMBA WA VITA , HAYATI RASHID MFAUME KAWAWA.

ITAFANYIKA :ST ANNES MOSQUE-ST ANNES ROAD

TOTTENHAM,
LONDON N15 5QG
JUMAMOSI JANUARI 9, 2010
SAA: 9 JIONI
KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NA :
SHABANI KAWAWA
TEL: +44 07731802787
AHSANTE

NEAREST STATION : SEVEN SISTERS STATION
BUSES:341,29,141,341,67

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. ahsante sana kwa mualiko wa kisomo ila tu nadhani mualioko haujakamilika maana umesema saa ya kisomo lakini haujasema ni siku au tarehe gani, hivyo tunaomba tuelezwe tarehe ili tuweze kujipanga na kuhudhuria haghfla hiyo hsanteni

    ReplyDelete
  2. Kupitiwa
    SATURDAY 9th JANUARY 1500HR Kwa Taarifa Zaidi Wasiliana na Shabaan Kawawa.
    Rafiki

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...