Picha na Anna Itenda wa Maelezo
Home
Unlabelled
KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEA TBC.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera sana bwana Tido Mhando, toka kurudi kwako na kuongoza jahazi hili la TBC, siri kuna mafanikio makubwa sana yamepatikana. sasa hivi ukitaka habari za uhakika na zinazotangazwa bila uoga, utazipata TBC.
ReplyDeleteumebadili kabisa muonekano mbaya wa TVT mbele ya umma, na hatimaye umeifanya TBC kuwa ni tv pekee inayopendwa sana kwa sasa na kila aina ya rika la watu umewapatia sehemu yake.
hii ndiyo faida ya kuwa na wataalam wanaofanya kazi nje ya nchi kwa muda mrefu na kisha kurudi kulitumikia taifa lao.
Natumaini sheria ikipita ya uraia wa nchi mbili, nchi yetu itavuna vipaji vingi vilivyojificha nje ya nchi. hongera sana.
Ingelikua vizuri kama katibu mkuu angelitua hapo kuzindua tovuti ya TBC hiyo ingelikua habari hapo sioni habari chombo kikuu kama hicho pamoja na maelezo HAVINA TOVUTI ni AIBUI Nafurahi ninaposikia taarifa za habari za TBC kupitia Radio Maria au uchabuzi wa magazeti au baadhi ya Habari mfano Rushwa kwa matrafik huko Iringa kupitia kwa blog ya Jamii TBC mnashindwa nini kua na vitu hivyo?Ilizuka website YaTBC siku Tatu ikapotea ilikua utani?Au ulikua mradi hiyo ilikua demo baada ya cheki kusahiniwa mchezo umekwisha hainiingii kichwani katika ulimwengu wa sasa kwa vyombo kamaTBC au MAELEZO kutokua na tovuti.MUNGU IBARIKI TANZANIA
ReplyDelete