China budi kukuchalimia wewe njomba na wadau wote kwa kuona mwaka 2010 maana hata mkifa sasa kwenye kaburi kuandikwa amefariki tarehe hiyo mwezi huo mwaka 2010. Kwa sasa la kama uhai upo tutazidi kumuomba mwenyezi tuendelee kuvuta hii okichijen.
Mimi ndau wa Iceland nikipata nauri nakuja nyumbani kuwapa chemina wajomba zangu wakina Matonya wachifuatwefuatwe tena na wale wagambo wa jiji na nimebaini njia mbadala ya kukaba mpaka kivuli au hata penati kabicha. Taswira zinajieleza.
china mengi najua utanichaidia kwenye hako kajielimu kangu pindi nikipata nauri. zaidi kama kuna ndau ana maarifa naomba ayamwage hapa katika kuliendeleza taifa.
Mdau wa Iceland



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Wewe mama mbavu zangu weeeeee.ahsante mdau wa iceland kwa barua pepe yako mimi nashukuru kwa kuuona mwaka na kuvuta huyo okisijeni pia hiyo elimu ni vizuri ukaja kuwapa hata wale wagambo wa jiji pia maana wakichukua wanakwenda kugawana,nikimuona matonya nitampa salam zako

    ReplyDelete
  2. Afadhali wewe umetafuta nauri ya kwenda na sasa unatafuta nauri ya kurudi na elimu kumuendeleza mjomba Matonya na nduguze
    AHSANTE MICHU KWA NZURI SANA

    ReplyDelete
  3. Mbona huyo Mjomba wako nilisoma nae chuo kikuu elimu gani anahitaji wewe mletee bunduki apambane na mgambo wa jiji tuu

    ReplyDelete
  4. Haya wabeba boksi na nyinyi mtaleta nini kwa matonyazii wa kikwete pale uwanja wa mbinde D.I.A

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...