msaada tutani: wadau wachumi tuelezeni hii ina maana gani. yaani dolari imebakia hapo kiasi cha miezi minne sasa. haipandi wala haishuki....mambo mswano ama ndo yale yaleeee?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Mimi siyo mchumi lkn kwa kukaa kwangu nje muda mrefu na kulinganisha huku na Tz ni kwamba Tz kuna artificial market ya dollar (US$). Dollar Tz iko insulated na fluctuations zinazotokea nchi nyingine. Hii ni kwa sababu wenye nyumba wanataka $, tiketi za ndege wanataka $ (dollarization of the economy). Kwa hiyo kuna artificial demand ya $. Dollar ina mzunguko tofauti Tz ikilinganishwa na ule wa kimataifa. The opposite is true, Yen ya Japan imepanda sana thamani katika soko la kimataifa ikilinganishwa na dollar, Euro na Pound. Mathalani, kuna wakati $1 = Yen 110, lakini leo $1 = Yen 90. Lakini kupanda kwa Yen hakuonekani katika shilingi. Miaka yote Yen 1 imebaki kuwa TSh 10 au 11! Kwa hesabu za haraka haraka, km $1 = Yen 90 na $1 = Tsh 1342, basi Yen 1 inatakiwa kuwa = Tsh 15. Lakini kwa vile hakuna shirika la ndege linauza tiketi kwa Yen, au mwenye nyumba anataka kodi ktk Yen nk basi Yen imebaki kuwa 10 au 11! Kwa hiyo wadau wa ughaibuni wakati mwingine tunalazimika kubadili Euro, Yen, Pound na kuwa $ kwanza kabla ya kurudi Bongo ili kupata exchange rate nzuri.

    Kama nimekosea, wachumi mtanisamehe na kunisahihisha.

    ReplyDelete
  2. Hiyo canadian vipi hapo maana huku tumebanana na mnyamwezi hakuna tofauti hivyo..lakini bongo ni 1000 sio mchezo...

    ReplyDelete
  3. na kweli mdau hapo juu cadian dollar tumebanana na wanyamwezi sana sana dawa nikutanua nazo hukuhuku full stop!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...