Mamia ya waombolezaji wakiongozwa na rais mstaafu Benjamin William Mkapa leo wamempumzika kwenye nyumba yake ya milele mwandishi wa habari veterani Reggie Mhango katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar. ikumbukwe Mh. Mkapa alikuwa mhariri mkuu wa Daily News na Sunday News miaka ya 70, wakati huo reggie akiwa mhariri wa habari.
Home
Unlabelled
buriani reggie mhango
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...