Ankal nimesikia hii ngoma kali yaweza kuwa ya kuanzia mwaka toka kwa watu wa Afrika Mashariki na Maziwa Makuu, hebu tu-share na wadau wa globu ya jamii
Home
Unlabelled
Hatutrudi Nyuma - Juliana Kanyomozi ft Kidum. Dj Din Sweden.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Nimeikubali mzee mzima, imetulia
ReplyDeleteJamani! huyu kidumu anasauti inayoendana na kuimba,,kweli mziki umetulia vyakutosha.duhhhh.
ReplyDeleteasante sana aliependekeza wimbo huu hapa kwenye hii blog!! I love the song!! thanks so much ...Mmmmmwaaaaa
ReplyDeleteNapenda kumpongeza mtunzi wa huu wimbo, na ningependa kama kuna uwezekano, aandike nyimbo zaidi yenye huu mwelekeo. Kaka hongera sana, tafadhali usikate tamaa, tumia sauti yako kuihamasisha jamii yetu.
ReplyDeleteJohn Mashaka
huyu jamaa ni mnyarwanda lakini wimbo bombo saaana na kiswahili hakijui vizuri lakini katoka sana wasaniii wenzangu wa bongo kelele tu hata ujumbe hakuna hakuna shame on bongo fleva baadhi lakini si wote.
ReplyDeleteyah, Ni track nzuri, imepangwa vizuri, kivyombo na uimbaji. Lakini tatizo moja kubwa ambalo nimekuwa nikiliona kwa nyimbo nyingi za Bongo Flavor ni kwamba hazichezeki. Nenda Club, utakuta zinapigwa nyimbo za west africa, carribean nk. Bongo flava watu wanakaa. Hili ni tatizo kubwa sana. Kwa nini wakongo wanatesa hapa. Nyimbo zao zinachezeka. Hongera Asha baraka, ameweza kupambana na miziki ya wa kongo. Mimi natoa changa moto kwa bongo flavor pamoja na FM stations zetu. Acheni kupromoti hizi slow type of Zouk ambazo wasanii wetu wengi wanapiga. Haiendi mbali. Promoti miziki inayochezeka. huwezi amini mpaka leo kuna remix za saida karoli (Unanichambua kama Karanga) na nyimbo za Mr. Nice zinapigwa kwenye maclub west Africa. ZINACHEZEKA!
ReplyDeleteNachangia.
ebwana weeh wee kiboko kweli kidumu.tupe mambo ya zouk machine maana haya makitu tumezoea kuaskia kutoka kwa wa carribeani tu.ebwana big up mtu mzima.
ReplyDeletemdau kigali makazi boxini
Hivi wewe unayesema eti huyu Kidumu ni mnyarwanda hujui,,,ukweli Kidumu ni mrundi lakini anaishi kenya,,na ni msanii wa kenya wa siku nyingi tu.Na usiongee uongo eti hajui kiswahili vizuli yuko fleshi tu kiswahili chake hakina kasolo yoyote.
ReplyDeletewimbo safi sauti safi jamani huyu juliana ana nsauti kali kumzidi binti machozi huo ndo ukweli halisi sauti lainiiii haina sio ya kupayuka huh!!
ReplyDeletemichu tunaomba utoe single!
ReplyDeletewewe anonymous wa hapo juu wasanii wengi wa kike wa bongo hawajui kuimba,lamda Ray naweza sema,binti machozi kazi anayo
ReplyDeleteKwa
ReplyDeleteAnkal na Wadau wa Blogu ya Jamii.
Nimeona 'MichuziEffect' wakati nimeingia Youtube kuangalia hii clip ya Juliana Ft Kidum.
Katika Video ya "Hatutrudi Nyuma' chini kuna sehemu ya Statistics& Data: Blogu ya Jamii kuanzia 19/02/2010 imesababisha grafu ya hiki kibao kupanda juu kwa kasi ya ajabu!
Hii inaashiria kuwa kibao hiki ni kitamu, chenye ma-'feeling' kibao na kinakubalika kwa sana.
Hivyo kama msanii/wasanii wamefanya kazi nzuri, wakipeleka kazi yao Youtube, basi wapitishe pia na clip yao ktk Blogu ya Jamii kujua kama pia kazi yao itapata 'MichuziEffect'.
Pia tangu kusikia kibao hiki, pamoja na baridi ya huku, mie nimekuwa nakicheza mara kadhaa na kupasha moto mwili kwa kukicheza.
Hongera Juliana na Kidum.
Eeeeh Bwana weeh!
ReplyDelete-vizuli; fleshi; kasolo.
Mi hapo, ndio niko hoi na hizi ndimi za watu wengine! Zina nini? Zimelegea?
(usibanie comment yangu Ankal). Ebu jitahidini kuongea kiswahili fasaha!