Home
Unlabelled
JK akagua athari za mafuriko kilosa leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Viongozi wa DECI wanamlilia Mungu huko jela. Wafuasi wa DECI wanamlilia Mungu huko Jela. Serikali iliwapa mkongoto na Mkullo akawaruka!
ReplyDeleteMaoni yetu nayo yabanieni tu!
Mimi Naomba kumpongeza kikwete kwa juhudi kubwa z kuiinua nchi hii. Kikwete anasikiliza mahitaji ya watu na kwa kweli katika marais wote waliopita katika nchi hii Kikwete anastahili pongezi/ Tumwombee Mungu ampe afya njema na kuendelea kumwonyesha jinsi ya kutuongoza kwa ufanisi zaidi. Mungu akubariki Rais Kikwete kwa kazi nzuri!
ReplyDeleteWEWE MDAU WA USA NI MUUMINI AU VIZURI NIKUITE FANATIC WEWE NI MTU WA KUSIFU HATA KAMA HAUNA TAKWIMU KWANI HAUZIHITAJI BA KWAKO SIFA NI MUHIMU KULIKO UKWELI.
ReplyDeleteHata mimi namuunga mkono mdau wa US ninamsifia JK kwa kazi anayoifanya, mwenye kukasirika akasirike mwenye kuumwa na aumwe. Kama Rais wa nchi anatimiza wajibu wake, sitegemei Rais afanye kazi za RC, DC, Mkurugenzi mpaka mtu wa chini.
ReplyDeleteKinachowasumbua ni uvivu tu wa kutaka kila kitu mfanyiwe na serikali nyie kazi kukaa vijiweni kusogoa siasa, hata maofisi mmegeuza vijiwe vya kusogoa siasa, badala ya kufanya kazi kutwa mpo kwenye mitandao mnablogu mara Jf, mara BF, hivi saa ngapi huwa mnafanya kazi za kujenga nchi saa ngapi?
Na huyo mcheza kamari hapo juu, unategemea uliwe kwenye kamari kisha serkali ikulipe fidia? Ulisikia hayo yametokea wapi? Labda mwezini.
Wengine mnashindwa kuona utendaji wa JK kutokana miwani myeusi mliyojivika ya imani zenu, hamna zaidi ya hapo angekuwa Joseph hata kama ana fanya madudu kama ya RADA mngemsifia, mbona tushawasoma siku nyingi! Kha wala hamtupi shida siku hizi.
Mswahili