Home
Unlabelled
JK awasili dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jaman kingunge si apumzike tu sasa hivi anatakiwa awe nyumbani na wajukuu wanacheza na kula,mambo ya kukimbiakimbia aache sasa astaafu ameshatumikia nchi ya kutosha na kama kuvuna ameshavuna ya kutosha aachie vijana sasa wakimbiekimbie.
ReplyDeleteKingunge hapo yupo kama nani? Manake sio waziri tena na sio mshauri wa Raisi. Nadhani alitangaza kustaafu, vipi mbona yupo hapo
ReplyDeleteKingunge mbona yupo hapo?huyu mzee akae apumzike,tuwe na utamaduni wa kupumzika,sio busara kabisa,acha vijana wafanye kazi bwana.kacheze na wajukuu nyumbani,nyie ndo mnatuongezea foleni barabarani.
ReplyDeleteMr. Kingunge bado ni mshauri wa rais. Ana miaka zaidi ya 80. Nakumbuka back in a day alikuwa mkuu wa itikadi ya elimu ya mafunzo, ya ushirikishwaji umma, ya sekretarieti, ya halmashauri kuu ya taifa.Na waziri asiyekuwa na wizara maalumu. na mshauri wa rais. Na mjumbe wa kamati kuu, ya halmashauri kuu ya taifa-central committee and NEC. Wooow!
ReplyDeleteSasa kwanini raisi akiwa anarudi kutoka nje , inabidi viongozi wengi tu waende kumpokea Uwanja wa Ndege.
ReplyDeleteKwaninininni ?
where to, next...haiti? south africa? zuma kaowa juzi inabidi atembelewe kumpa pongezi.
ReplyDeleteAnon wa 10;21;00 pm na Anon wa 11;31;00 katafuteni kitabu "48 Laws of Power" by Robert Green. Ndiyo mtaelewa kwa nini Kingunge hawezi kuacha kwenda Airport kumpokea JK. That is part of the dynamics za principles za Machiavelli. Mlioenda shule mtaelewa.
ReplyDelete