Home
Unlabelled
mabalozi wapya wa saudia na burundi wamuaga dk karume
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nawapongeza mabalozi wapya kipekee mwalimu wetu wa pale Diplomasia Prof. Omary. Kama kuna mtu mwenye uwezo wa kuchanganua mambo Tanzania hii Prof Omary yumo katika top 3. Ni matumaini yetu kuwa mahusiano yetu na Arabuni yatakuwa mfano wa kuinufaisha Tanzania kiuchumi kama ulivyokuwa ukitufundisha kuhusu diplomasia ya kiuchumi. All the best prof
ReplyDeleteAnkal naomba usiibane hii. Ni kwanini tunachagua wasomi wetu kuwa mabalozi na wakati wanahitajika hapa nyumbani. Kwani hakuna watu pale Foreign ambao wamesomea mambo haya na wanangojea posti hizi!
ReplyDeleteWadau nisaidieni kwani nani kateuliwa kuchukua nafasi ya Prof Omari pale Diplomasia?
ReplyDelete