SHEREHE ZA MAULID ZINAZOADHIMISHWA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA MTUME MUHAMMAD S.A.W ZITAFANYIKA KITAIFA MKOANI MTWARA IJUMAA USIKU WA FEBRUARI 26, 2010 MKOANI MTWARA, KWA MUJIBU WA TAARIFA KUTOKA MAKAO MAKUU YA BARAZA KUU LA WAISLAMU (BAKWATA).
KAMA ILIVYO ADA, JUMAMOSI FEBRUARI 27, 2010 SAWA NA MWEZI WA 12 MFUNGO 6, ITAKUWA NI SIKU YA MAPUMZIKO NCHI NZIMA. KATIKA TAARIFA HIYO BAKWATA LIMEWATAKIA WANANCHI WOTE MAPUMZIKO MEMA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. si kwmaba ni alhamisi kuamkia ijumaa! nishajitne kuwa friday tunakula bata..umenitoa mud michu!!

    ReplyDelete
  2. Ahsante sana

    ReplyDelete
  3. salla llahu alayhi wasalam.

    ReplyDelete
  4. MICHUZI ACHA KIMBELEMBELE, HAPA OFISINI KWETU KUNA KARENDA IMEONYESHA TAREHE 26* NI SIKUKUU NILIPANGA NISIJE KAZINI HATA KAMA MWEZI HAUJAFANYA NINI SIJUI, ALAFU NIKIULIZWA JUMATATU NISINGIZIE SIKUKIONA KILE KINYOTA KWENYE TAREHE, INGEKUWA EKSKYUZI TOSHA SASA NA WEWE HAPA UMELETA HABARI YA KINOKO.

    ReplyDelete
  5. unabana eee?

    narudia "ivi sikukuu za wezetu izi?basi tu" kalenda zote zasema 26* mara sikukuu jmosi

    aaagh

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...