Miss Valentine Italy 2010 Aziza Tesa
Miss Valentine Bi Aziza Tesa akiwa na Mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania Italy Mh Abdulrahaman A.Alli pamoja na mjumbe wa jumuiya ndugu A.Bendera.




Mr Bonny Milinga akimkabidhi tuzo Mister Valentine 2010 Napoli Italy Mr Salim Mapoz,pembeni ni mmoja wa wasimamizi wa tukio zima ndugu Allan Bendera.

Mwenyekiti wa jumuiya ya Watanzania alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za valentine mjini Napoli.katika sherehe hizo mwenyekiti alitumia nafasi hiyo kuwashukuru wale wote waliohudhuria na wote walioshiriki katika kufanikisha sherehe za siku ya wapendanao, mwenyekiti aliwapongeza miss & mister valentine 2010 na kuwataka wawe mabalozi wa jumuiya na kuhimiza umoja baina ya watanzania.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. HIVI JAMANI SAUDI ARABIA HUWA PANA ENDEKA-? NAONA HAKUNA ANAYE ENDA HUKO KUPIGA BOXI.

    ReplyDelete
  2. wabongo bwana kila kitu kuiga laiti mngejua historia ya valentine day wala msingefanya haya mfanyavyo labda kama akili ya mtu iwe finyu

    ReplyDelete
  3. Allen!Please keep in touch ka_ssa@yahoo.com.Its very important!

    ReplyDelete
  4. saudi panaendeka lakini lazima upate sponsor waarabu matajiri bwana zaidi ya wangungu na hawana sera za kuzalilisha watu ndo maana kubeba box si sana kama ulaya na marekani.
    njo karibu sana utatajirika ukiwa umangani zaidi ulipo huko nja tupu bajeti kiyama wazungu ndo zao hawali,hawastarehe hawafi bila ya bajeti.Tena ukiwa new york ndo kabisa utakufaaa hivi hivi huku unajiona nakupa life fact mimi nishaishi sana new york brooklyn.

    sasa niko umangani napeta mwanangu raha mstarehee

    ReplyDelete
  5. mdau #1 ata me nafikiliaga ilo sana
    sasa adi upate mfadhili tena wa kiarabu?

    mh

    ReplyDelete
  6. Watanzania mna mambo! Copy n paste kwa kwenda mbele bila tafakuri! Hayeni!

    ReplyDelete
  7. teh teh, kwa mbaaaaaaali teh teh aaaaaaanha!!!

    ReplyDelete
  8. mdau uliyeko uMANGANI HEBU TUPE SIMBI BASI INAKUWAJE MTU AKITAKA KUJA HUKO? UMEONGELEA UFADHILI WA MWARABU HEBU CHANGANUA HII KIDOGO IMEKAAKAAJE. NATAKA KUJA HUKO BWANA HUKU MAMTONI LIFE IMEPINDA SAVINGS ZINAKUWA NGUMU SANA. MI NINA SHULE YANGU NZURI TU LAKINI MAMTON I KUMEKUWA TIGHT NA NYUMBANI BONGO SITAKI KURUDI NAFIKIRIAGA SANA KUZAMIA UARABUNI ILA SIJAPATA UTARATIBU MZIMA WA JINSI YA KUISHI HUKO NA JINSI BOX LINAVYOPATIKANA.

    ReplyDelete
  9. huo c wivu wa kimaisha ni ujinga 2.kwani mnawasema wakirudi ndio wa kwamnza kukaa nao ktk mabaa hta pumz ham2pi cm kibao.hujaamka hodi tele jiaangalieni.........

    ReplyDelete
  10. huo c wivu wa kimaendeleo m2 hachaguliwi kwa kwenda kutafuta.mnasetusema tukirudi wakwanza kututafuta mnataka tustarehe wote.hujaamka nje wagongewa hodi sio mpango huo..........................

    ReplyDelete
  11. Huyu KDK kumbe yuko Italy!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...