Home
Unlabelled
Nondo Nchini Malaysia kwa Waliomaliza Fom Foo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
wataenda wengi huko. malaysia is the new India kwa kuchukua wanafunzi wa TZ
ReplyDeletelakini wazazi wawe makini watoto wengi wanjifunza extremism wakiwa baadhi ya nchi
ReplyDeletekweli kabisa, malaysia imekua india, na watoto wanaharibikiwa balaa, me nimekaa hapa miaka miwili,na mzazi akiniuliza kama kuleta mtoto huku ni salama, kwa kweli, its not, wanageria huku kibao utadhan wametupwa na wanawaharibu watoto hasa wa kike, be it ana hela au hana.
ReplyDeleteHuwzi kujua mpaka uwepo hapa kuona wats happening, hata mimi before waliniambia the place is good,and secured, lakin hamna kitu. Kwa we mzazi ambaye utataka leta mtoto huku,dont rush just because wana offer one year foundation then wanaingia degree, angalia na mazingira atakayoweza kusoma. Fanya research kwanza,
Wanasema unapata degree za UK,USA, CANADA n AUSTRALIA,it rather umpeleke mtoto hiyo nchi inayo offer that degree, malaysia now vyuo imekuwa market, they dont offer that education,they say they offer.
hizo gharama za huo mwaka ni bora asome bongo miaka miwili kwenye shule nzuri ,unamuona kila siku mwanao unamfudisha mambo mengi ukiwa mzazi then faida kibao kuliko huko malaysia
ReplyDelete"depend on foundation results"
ReplyDeletekazi kweli kweli
Watanzania tunapenda kwenda nchi za nje ila maisha huko sio kabisa na dada zetu huku wanaharibikiwa kabisa yani kama toto hazijatulia kichwani hao Wanaigeria wanavuta na wanakula tu na kama mzazi unajisahau kutuma pesa au uchumi emeyumba daa ndo mtoto wako umemtoa sadaka kabisa!!
ReplyDeleteTusiishi kwa formula. Kuharibikiwa au kutoharibikiwa kwa mtu hakuna utegemeo na mahali alipo. Hata ukimpeleka kusoma mbinguni, kama wa kuharibikiwa ataharibikiwa tu. Ni kiasi cha kumtengenezea mtoto mazingira ya kujitegemea na kuweza kuishi bila macho ya wazazi wakati wote. Vipo vyuo vibaya Malaysia ila ni kiasi cha mzazi kufuatilia tu vizuri na agent anayemleta mwanae. Kinachoharibu watu Malaysia hii ni ulimbukeni na kufuata mikumbo isiyo na msingi, kichwa wala miguu. Watu wengi tu wanafanya vizuri maadam wametulia na wanajua lililowaleta.
ReplyDeleteNi hayo tu!
Mdau uliyetoa hii advert mbona umesahau Div 4??? maana najua wale jamaa they are after money
ReplyDeleteACHEZI KUPONDA .NDO ZENU WABONGO KUPONDA. MLIO COMMENT UKO JUU HAMNA LOLOTE.KWANI BONGO WATOTO NDO AWAARIBIKIWI. TUNAJUA YANAYO FANYIKA MLIMANI ,Ifm KOTE UKO.MTOTO KUARIBIKIWA NI KUPENDA MWENYEWE. WAPO WANAO SOMA UKO UKO INDIA NA MALAYSIA NA WANA PERFORM VIZURI YU!! MAREKANI NA UKO ENGLAND NDO USISEME.MBONA WALIKUWA WANAWATOA KWENYE ZEUTAMU .KAMA WEWE MTOTO WAKO NI KIAZI NI KIAZI TU HATA UKIMPELEKA PEPONI.PPL U HAVE TO CHANGE MIND UR OUR BUSINESS MNAO KANDA MPO HUKO HUKO MALAYSIA NA INDIA.MANAKANDA KWASABABU HAO WANAWAKE AMWAPATI WAPOPO(WA NIGERIA )WAMEWAZIDI KETE. WANAUME WA KITANZANIA NI WASHENZI SANA NA WAMBEA NDOMANA .MADEMU WA KITANZANIA WAKIJA NCHE YA NCHI WANAWAKIMBIA.
ReplyDeleteNIMAONI YANGU TU KAKA MICHUZI
kuna jamaa mmoja hapa tunaye anaponda sana kusoma uku!! hila yeye mwenyewe anasoma uku uku!!! mbona ajasoma uko bongo sasa!! ona mlivyo wanafiki watanzania
ReplyDeleteKwa sasa hata wanaoleta wanafunzi India jamani wazazi nawaombeni mtulize akili, somesheni watoto TZ mbona nipo hapa India lakini sioni cha ajabu zaidi ya waalimu kukopi tu kama wa bongo?
ReplyDeleteyani hiyo nchi inafanya biashara..hakuna kitu..watoto ni kuharibikiwa mtindo mja..bora ubaki na mwanao tz.bora uk atleast people are busy..coz maisha ni magumu
ReplyDeletemalaysia ni nzuri kwa IT tena kwa baadhi ya vyuo,mzazi fuatilia historia ya chuo ukiona wanakubali div 3 foundation hicho sio chuo sheria huku zipo na zina eleweka, hayo masomo mengine ni bora mbaki bongo tu
ReplyDeleteitategemea na heshima ya dada mwnyw kicheche ni kicheche tu