
Radio Times 100.fm inapenda kuwaataarifu Vijana wa Kitanzania wenye umri kuanzia miaka 20 hadi 35 elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea kuwa kuna nafasi za kazi kwa kijana mwenye kipaji na sifa za kuwa mtangazaji wa Radio ya burudani, kama unapenda kuwa mtangazji na unakipaji tuma maombi yako kwenda kwa
MENEJA MKUU
RADIO TIMES 100.5 FM
DAER ES SALAAM
Leta maombi yako katika ofisi zetu zilizopo mtaa wa Lugoda gerezani area katika kiwanda cha magazeti ya Majira na Dar leo ( Bussines Printers) au tuma kwa email
MENEJA MKUU
RADIO TIMES 100.5 FM
DAER ES SALAAM
Leta maombi yako katika ofisi zetu zilizopo mtaa wa Lugoda gerezani area katika kiwanda cha magazeti ya Majira na Dar leo ( Bussines Printers) au tuma kwa email
kwa maelezo zaidi piga simu namba
2128555
LOL!kweli bongo tamabar..., yaani kazi ni ubwete tu haiitaji taaluma yaani kama unahisi unakipaji we nenda pata kaz hahahha,nimeipenda hiyo lol!
ReplyDeletewewe wa kwanza hapo juu akiweka mashariti atawalipa nini wakati anataka mwisho wa mwezi laki mbili inclusive P.A.Y.E and nssf hiii ndo bongo bwana.Epa kotekote sio Bot tu
ReplyDeleteHIYO DAR ILIVYOANDIKWA, KWELI WEWE NI MTANGAZAJI
ReplyDelete