Mwanaharakati wa masuala ya kijamii Shy-Rose Bhanji akiwa amebeba watoto mapacha Hussein na Hassan alipokuwa katika hospitali ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam jana kutoa misaada mbalimbali ikiwemo vyakula kwa wagonjwa waliolazwa yenye thamani ya sh. milioni 1.3 ikiwa ni sehemu ya kusheherekea siku ya wapendanao. Kushoto ni mama wa watoto hao Asia Salehe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Yeah Shy...safi sana kwa jitihada zako,shughuri kama hizo ni muhimu sana kwenye jamii yetu ... all the best for what your doing and be blessed...
    Dr.Balilemwa

    ReplyDelete
  2. Hongera kazi nzuri sister!
    Utagombea ubunge mwaka huu sister? tukuunge mkono

    ReplyDelete
  3. hongera sana mwanaharakati

    ReplyDelete
  4. watoto wazurii jamanii!hongera mama wawili na sister shy

    ReplyDelete
  5. Hongera dada Mungu akutangulie katika kila jambo, Amen.

    Joshua

    ReplyDelete
  6. watoto wazuri mashaallah

    ReplyDelete
  7. Shy naona mambo yamechanganya njia hiyo ni mzuri kusaidia jamii ni kipaji endelea hivyo hivyo... huyu Dr. Balilemwa siyo Bube kweli jamaa tumesoma wote Lake sec..naona kaisha kuwa doctor..ni vizuri kuona classmate wako wa juu...
    Mdau A-level lake secondary 1989

    ReplyDelete
  8. This is so beautiful Shy-Rose! Keep it up sister.

    ReplyDelete
  9. HIYO NI KAZI NZURI, SI MPAKA UWE MBUNGE AU RAIS NDO UTOWE MISAADA KWA KUTMIA PESA YA UFISADI HATA WAFANYAKAZI WA KAWAIDA TUWE TUNATOWA MISAADA, KAZI NZI DA SHYROSE. ONCE I GAVE HER SOME SUGGESTION ON HER FACEBOOK KWAMBA ANA NAFASI KUBWA SANA KATIKA JAMII AITUMIE KESAIDIA WATU HUYU DADA NI MTU WA WATU, TUMUUNGE MKONO HATA KAMA ATATAKA KUGOMBEA KITU MWAKA HUU

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...