Timu ya SOKA ya Tanzania ya Mjini New Delhi, inatarajiwa kushiriki katika mashindano ya Balozi mbalimbali (INTER EMBASSIES COMPETITION), yatakayoanza IJUMAA hii tarehe 26 February 2010 katika viwanja vya JAYPEE INTIGRATED SPORTS COMPLEX,G-BLOCK, GREAT NOIDA,nchini INDIA.
Wakitoa wosia kabla ya mashindano hayo kwa wachezaji wa Timu hiyo, kwenye ofisi za ubalozi zilizopo CHANAKYAPURI Mjini New Delhi, Afisa Ubalozi anayeshughulikia masuala ya wanafunzi Bw AMON MWAMUNENGE na Meneja wa Timu na Mwambata wa Jeshi Kanali Nassor wamewataka wachezaji hao kuwa na moyo wa kujituma sambamba na kuitangaza Tanzania katika utamaduni wake wa kuwa na Nidhamu, upendo na uungwana uwanjani.
Timu hiyo ya Tanzania Itafungua Dimba kwa kukutana na Timu ya AUSTRIA, mchezo utakaochezwa saa Mbili Usiku, siku hiyo ya Ijumaa. Huku Jumamosi itaingia uwanjani tena kucheza na Timu ya UNICEF,mchezo utakochezwa saa kumi na Mbili Jioni, na Jumapili itakwaana na Timu ya RUSSIA katika mchezo utakaoanza saa TISA JIONI.
Timu ya Tanzania ni miongoni mwa Timu KUMI NA SITA zinashiriki mashindano hayo zilizogawanywa katika makundi MANNE ,Tanzania ikiwemo katika kundi A sambamba na AUSTRIA, RUSSIA na UNICEF, Timu nyingine ni NETHERLANDS, AFRIKA KUSINI,ISRAEL,BANGLADESH,MALAYSIA,BELGIUM,BOTSWANA,CHINA,CHILE na wenyeji INDIA.
Kwa wanajumuia ya watanzania waliopo New Delhi, wote mnakaribishwa kuishangilia Timu hiyo.MUNGU ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
By.Jennifer Sumi.
Mwenyekiti - TASA.
Wakitoa wosia kabla ya mashindano hayo kwa wachezaji wa Timu hiyo, kwenye ofisi za ubalozi zilizopo CHANAKYAPURI Mjini New Delhi, Afisa Ubalozi anayeshughulikia masuala ya wanafunzi Bw AMON MWAMUNENGE na Meneja wa Timu na Mwambata wa Jeshi Kanali Nassor wamewataka wachezaji hao kuwa na moyo wa kujituma sambamba na kuitangaza Tanzania katika utamaduni wake wa kuwa na Nidhamu, upendo na uungwana uwanjani.
Timu hiyo ya Tanzania Itafungua Dimba kwa kukutana na Timu ya AUSTRIA, mchezo utakaochezwa saa Mbili Usiku, siku hiyo ya Ijumaa. Huku Jumamosi itaingia uwanjani tena kucheza na Timu ya UNICEF,mchezo utakochezwa saa kumi na Mbili Jioni, na Jumapili itakwaana na Timu ya RUSSIA katika mchezo utakaoanza saa TISA JIONI.
Timu ya Tanzania ni miongoni mwa Timu KUMI NA SITA zinashiriki mashindano hayo zilizogawanywa katika makundi MANNE ,Tanzania ikiwemo katika kundi A sambamba na AUSTRIA, RUSSIA na UNICEF, Timu nyingine ni NETHERLANDS, AFRIKA KUSINI,ISRAEL,BANGLADESH,MALAYSIA,BELGIUM,BOTSWANA,CHINA,CHILE na wenyeji INDIA.
Kwa wanajumuia ya watanzania waliopo New Delhi, wote mnakaribishwa kuishangilia Timu hiyo.MUNGU ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
By.Jennifer Sumi.
Mwenyekiti - TASA.
FURSA HII ITUMIKE KUJITANGAZA KWENYE MCHEZO WA KRIKETI MCHEZO WENYE MASHABIKI WENGI INDIA.
ReplyDeleteHONGERA KWA TAARIFA NZURI NAPENDA KUJUA HUYU JENIFER SUMI NI YULE WA CHANEL TEN AU? NIMEKUMISS DADA
ReplyDeleteJamani SOKA india!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteTunawaomba mtembee kwa Ma groups
ReplyDeleteRIP IMRAN