Mtembea juu ya waya Hassan Mang'ula akionesha ujuzi wake hoteli ya ufukweni ya Giraffe iliyoko Kunduchi jijini Dar ambako kila jumapili kunakuwa na vivutio vya aina hii. Mangu'la, ambaye ni mmoja wa wanakikundi cha maonesho cha Peace & Love chenye makao yake Yombo Makangalawe, anapatikana kwa namba +255 719 901 929 kwa atayewahitaji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 25 mpaka sasa

  1. bongo safety zero, jamaa akianguka kwenye hilo zege lazima apasuke, na muhimbile madaktari wapo bar nani atamshughulikia...

    ReplyDelete
  2. RUKSA KUMPA ZAWADI !!!HAAAAAAAAHA KWANI BIRTHDAY YAKE ADI TUMPE ZAWADI!! SI UCHAWI HILA MAZOEZI

    ReplyDelete
  3. ungekuwa ulaya mjomba ungepewa kweli zawadi!!wabongo awajuhi humuhimu wa acrobat wao wamezoea maigizo kama ya kina the comedy awatumii akili kufikiria !!!

    ReplyDelete
  4. huyo mtangazaji anaboa keli...haya sasa...tende sasa...haya sasa ...twende sasa...what? haya sasa....twende sasa...nini sasa? anaboa kweli

    ReplyDelete
  5. WABONGO ZIRO KWELI.....HATA HAMUMPATII JAMAA ZAWADI, MNATOA ZAWADI KWENYE MAYENU TU...JAMANI BONGOOO

    ReplyDelete
  6. Very nice. I recommend he should come to the U.S.(America) where he will definitely be rich within a year, i mean a millionaire. Tanzania is a country with many talents but the environment is not conducive for its people to prosper.

    ReplyDelete
  7. ....shuhuli inaanzia hapo sasa....

    ReplyDelete
  8. Swali la kizushi...
    hapo kati kati ya suruali amevaa chochote kuprotekti nanihii zake?Waya huo...Ohooo!

    ReplyDelete
  9. huyu ni buibui mtu ama sivyo?

    ReplyDelete
  10. Kuna mfaransa mmoja miaka ya sabini alifunga kamba kati ya yale maghorofa ya twin tower New York (umbali wa 43 m) akiwa juu (urefu wa 417 m, karibia nusu kilomita).

    Kuna sinema kumhusu yeye, inaitwa Man on Wire: http://en.wikipedia.org/wiki/Man_on_Wire

    Tazama trailer hapa:
    http://www.youtube.com/watch?v=fnA2gt9dNes

    Itabidi jamaa aonyeshwe.

    Mfaume

    ReplyDelete
  11. Wadau hiyo ni sehemu gani naombeni msaada maana siku nikishuka bongo lazima kwenda kula upepo hapo!!

    ReplyDelete
  12. Wewe una Insurance kutembea kwenye hiyo kamba? Ukivunja mgongo hapo nani atakulipa?

    ReplyDelete
  13. Wadau naomba nami kuuliza hapo ni mahali gani?
    Jamaa yupo safi,ila wa bongo kwa wivu tu hata kujali kinachoendelea,wao wanapita tu jamaa anaungua jua tu hapo juu ya kama hata kumtunza Spiderman!
    Haya sasa shughuli inaanzia, twende sasa,amevaa mguu wa kwanza sasa anavaa mguu wa pili,twende,haya sasa!kishikuwa papa,umemechisha.


    Naomba kupafaham mahali hapo kwa mdau anayepafahamu,twende sasa!

    ReplyDelete
  14. This guy is a master in what he does, absolutely spectacular perfomance!!

    Unfortunately, kazi yake is not well promoted. He needs a business manager.

    Hapo angeweka sound effect, some sound thrills, lighting etc ingekuwa bomba sana.

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  15. huyo mtangazaji hio ni sauti ya Kingwendu mnamsikia miyeyusho yake hio he he he

    ReplyDelete
  16. Haya sasa, shuguli inaanzia hapo sasa, Twende sasa,twende sasa,shuguli inaanzia hapo sasa,haya sasa,wewe Mc gani hauna maneno?nani kakupa mic?haufai hata kua Mc ktk ndoa ya mkeka.

    ReplyDelete
  17. dahh!!!!Perfomance safi sana CHA AJABU WATU WALIMPOTEZEA KUTOMWANGALIA,KUTOMTUNZA,inasikitisha kwa kweli.Ila angekuwa mtu anacheza uchi wangemtunza mijipesa hadi basi

    ReplyDelete
  18. wewe (US Blogger) ziro kabisa sasa akiweka business manager na kuweka sound effect atapata hela zaidi au. Wewe huijui bongo. Hiyo gharama ya kumlipa business manager utampa wewe?

    ReplyDelete
  19. i see michuzi naomba contacts za huyu mtu nije naye us tutengeneze mahhela. nimechoka kunyanyua mabox

    ReplyDelete
  20. mtangazaji huyu lo!! na nyie mnaouliza hapo ni wapi kwa nini msisome kwanza ishu inasemaje kabla hamjaanza kurukia keyboard?? mshaambiwa hapo ni giraffe hotel karibu na white sand

    ReplyDelete
  21. 07:31:00 PM umenivunja mbavu,,,

    wabeba box vs wala vumbi=

    ReplyDelete
  22. Watoa comments wengi wa hapa(michuzi blog) wanatakiwa wapate "SWAHILI COURSE" mnaongea Kiswahili kibovu kuliko waCongo na Wakenya.

    ReplyDelete
  23. mi naomba avae jeans au skin tight ndo nitamuona mwanaume!

    ReplyDelete
  24. dah jamaa yuko fiti c'mchezo!!
    Kaka vipi si ungesogeasogea na kule pande za swimming pool ungepata taswiraz kaka!!!

    Mdau wa pajazzz+titizzz

    ReplyDelete
  25. Wewe uanyesema US Blogger ni ziro inaonesha hujui kazi ya meneja.

    Meneja kazi yake sio kulipwa, meneja anatakiwa awe na mikakati ya kuingiza bila ya hivyo hafai kuwa meneja.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...