wadau wa OnePlus Communications walioandaa shughuli ya uzinduzi wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards
supa staa AY akiwa na wadau wa vipindi vya muziki vya TBC1
ankal alibahatika kukutana beneti na mdau Fred Fidelis 'Fredwaa' wa Radio Free Africa ya Mwanza ambaye pia alikuwepo kwenye hafla hii. Ikumbukwe Fredwaa amekuwa mtangazaji bora wa kanda ya ziwa mara tano mfululizo kutokana na umahiri wake wa kuendesha kipindi hususan kuchambua bolingo na ngai za Kongo. Uko juu kaka Fredwaaa..
ankal na watangazaji machachari wa Radio One Stereo na ITV. Toka shoto ni mdau Milad Ayo, Abubakar Sadik na Abdallah Mwaipaya
ankal akiwa na wadau mezani. Toka kulia ni Zamaradi Mketema wa Clouds TV, Fredwaa wa Radio Africa, Gerald Hando wa Power Breakfast ya Clouds FM na DJ Massive wa Carribean nite ya Clouds FM. Hapo haliharibiki jambo...





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. namzimia saaaaana abubakar sadiq huwa anaongea kama anabembeleza redio wani wee mko juuuuu

    ReplyDelete
  2. fredwaa na wewe mashallah hadi raha hongereni kwa hizo talent Mungu alizowatunuku

    ReplyDelete
  3. Ebwanaeeeee, kumbe Milad Ayo kaenda hewani kinoma, ajaribu kucheza basketball, kibongobongo atasumbua!

    ReplyDelete
  4. nguo nyeusi mnaroga? not nice need friendly colours, brings more flavour

    ReplyDelete
  5. KWANZA SHIKAMOO BRO MICHUZI, MIMI NAPENDEKEZA KWAMBA TUWE TUNAFANYA BIRTHDAY YA THE FULANAZZ, KWA MFANO THE FULANAZZ IMETIMIZA MIAKA 7 AU 8.NA KEKI KUUUBWA YA LIVERPOOL.

    ReplyDelete
  6. OOOHHH Zama!!!!Whats going on girl? Looking good looking good as always. Will see u soon.

    ReplyDelete
  7. i can see ze bahashaz, ankal yako iko wapi? kuna yale mambo yetu humo ehhhh.

    ReplyDelete
  8. Aise Ankali,
    Umenikumbusha sana kummona huyo Dj "Freduwaa". huyu jamaa ametoka mbali sana. nilikuwa nakata naye shule kule Old Moshi na ndipo jina lake la "Freduwaa" lilipozaliwa miaka ya 1994-96. enzi hizo kila mtu alikuwa anarekebisha jina lake liwe la ki-Marekani au Kisupa star hivi...Huyu akaamua kujiita Freduwaa na wote tukalikubali...nakumbuka kundi lake lilikuwa linaitwa "City Boyz"...alipenda sana Muziki na madisco na nakumbuka alikuwa pia ni mtu aliyezindua ule usemi wa radio clouds wa "mwaga nyuki" maana enzi hizo alipokuwa shuleni aliwapenda sana "Chris Cross"na wapiga hip hop wengine na kwenye yale madisco ya mashuleni alikuwa nacheza hizo hip hop kwa kusema mwaga nyuki kuku akiwa amevaa sweta lenye kofia maarufu kama "OPP"...kaka michuzi huyu DJ namkubali sana na ni jamaa ambaye ametoka mbali. alishanusurika kufukuzwa shule kwa ajili ya madisco enzi hizo yeye na jamaa zake.nampa hongera DJ Freduawaa.shukrani Anko Ze-Tishirt kwa kutuletea habari zake.

    ReplyDelete
  9. Upendoo,swiry mzima am happy to see u,nakuona mwaya u real look good!missin u,tkcr.

    ReplyDelete
  10. heee kumbe ndo nyie???????aiseee

    zaidi ya ze fulanazzz apo

    teh teh

    ReplyDelete
  11. ankal,imebidi niangalie mara mbili mbili,hivi hizo fulana zako una dozen ama?? maana mmmh sijaelewa bado

    ReplyDelete
  12. mdau hapo juu ati ze fulana iwe inafanyiwa besdei nimecheka najikojolea hukuuu! kweli hii blogu ni dawa ya stress kuchekaaa kwa wingi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...