Home
         Unlabelled
      
wahaka wa moto makao makuu ya benki ya NBC leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HII BANK NASIKIA KUNA UNDERGROUND INATOKEA MPAKA HUKU JUU YA HIYO BUSTANI HAPO JE NI KWELI? TUFANYIE UCHUNGUZI MICHUZI.
ReplyDeletepesa hizo zimeondoka. mafisadi washa choma ushahidi moto. mamillioni yameshapotea hahahaha
ReplyDeleteNI KWELI MIMI NIMEFANYA KAZI HAPO KWA MIAKA 14, IPO HAPO CHINI INATUMIKA KAMA STRONGROOM LAKI HAINA OUTLET HUKO NJE BUSTANINI HIYO SI KWELI NI KWAMBA KUNA VYUMBA TU HUKO CHI HATA LORRY LINAINGIA HUKO CHINI PENGINE HADI HAPO BARABARANI MBELE HAPO.
ReplyDeleteAsante Mdau kwa kunijibu nilikuwa nataka kujuwa. hahaha msije kufikiri nafanya mbinu za wizi.
ReplyDelete