Akiwa kaongozana na kaka yake ambaye pia ni wakili mashuhuri, Mh. Jerime Msemwa, na mshauri wake wa siasa na mtangazaji mkongwe Enock Ngombale, Mh. Msemwa amesema ameamua kugombea kiti hicho kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano. Hakuwa tayari kuongelea atafanya nini endapo kama atashinda, akisisitiza kwamba hayo atayanadi muda wa kampeni utapowadia
Home
Unlabelled
wakili kumvaa Mh. Anna Makinda jimbo la Njombe kusini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Jamani mbona mwatuchanganya na kutu-mix? habari hii haijakamilika. Huyu anayetaka kugombea atagombea kwa tiketi ya chama gani? Au ni mgombea binafsi?maana sijaona jina la chama zaidi ya maneno mashuuri na mshauri ndo yametawala hapo.
ReplyDeleteKaazi kweli kweli, usitubanie comments zetu.
Mdau Waluwalu!
I hope ameshamwona Sheikh Yahya kabla ya Tangazo hili. Msimu huu ni msimu wa waganga
ReplyDeleteMAELEZO HAYA NDIYO MUHIMU KWENU, WALEMAVU MLIWANYIMA UKUMBI WANASIASA UCHWARA MNAWAPA UKUMBI.
ReplyDeleteKama kweli mtu ana uchungu na nchi angeenda kugombea kwenye jimbo la mwanasiasa asiyekuwa na manufaa kwa jamii. Sasa unaenda kugombea jimbo la Anna Makinda; mmoja wa wanasiasa wachache ambao mchango wao kwa taifa unaonekana. Kawabane wanaolala bungeni.
ReplyDeleteGrrrrrrr!!!!!!!