Mwenyekiti wa MISA –TAN Ayub Rioba akisisitiza jambo jana mjini Dar es salaam kwenye mjadala wa majukumu ya vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu ujao. Wengine katikakti ni Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dunstan Tido Mhando na Mkuu wa Sauti ya Ujerumani kanda Afrika na Mahariki ya Kati Ute Schaeffer (kushoto) .
Washiriki na waandishi wa habari walioshiriki mjadala wa majukumu ya vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu ujao. Majadala huo uliandaliwa na Sauti ya Ujerumani.Picha zote Tiganya Vincent- MAELEZO


Msisahau kutuandalia mdahalo ili tusiuziwe mbuzi kwenye gunia.
ReplyDeleteingependeza tukifahamishwa waliyojadili japo kwa muhtasari.
ReplyDeletekusema wamejadili na kuweka picha haitoshi, si sawa na kuweka picha za birthday ambazo zinaweza kujitosheleza.