Wachezaji wa Yanga wakishangilia ushindi wa timu yao dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom uwanja wa Uhuru jijini Dar leo. Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 3-1.
Shaaban Nditi wa Yanga akipambana na mlinzi wa Mtibwa Sugar
Stephen Bengo wa Yanga akimtoka beki wa Mtibwa Sugar Chacha Marwa
Shaaban Nditi wa Yanga akipambana na mlinzi wa Mtibwa Sugar
Stephen Bengo wa Yanga akimtoka beki wa Mtibwa Sugar Chacha Marwa
Baada ya kulizwa na Matokeo ya kidato cha nne.Yanga inanipa raha.
ReplyDeleteasante yanga kwa ushindi Mzuri wa leo.
Ankal sie yanga hatuna mchezaji anayeitwa shaban nditi,nafikiri maelezo ya picha yangekua "shaban nditi wa mtibwa akipambana na beki wa yanga"
ReplyDelete