Home
Unlabelled
Yanga yaisasambua Toto Afrika kwa bao 6-0
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ushindi Mzuri sana ila Jamani tulikuwa wapi raundi ya kwanza?ona sasa Simba washatuzidi na kuwafikia!! sijiu!!
ReplyDeleteMwana Yanga halisi India.
Watani zangu wa jadi mbona zikija mechi za kimataifa hamuyafanyi haya mauaji?
ReplyDeletePole sana Mwana Yanga halisi,ndio imeshakula kwako na Yanga yako.Ni kweli kama ulivyosema Yanga kuifikia Simba kwa mwaka huu ni ndoto,labda mwakani ila kwa mwaka huu sahau kabisa.Kumbuka kuwa mpaka sasa Lunyasi tunahitaji pointi sita tu kujitangazia ubingwa mapemaaaaa!!!,we baki tu uking'aaa macho.Kwaheriiii!!!.Mwana Simba halisi India.
ReplyDeleteHiyo ndiyo Dar Young Africans. Swaafi sana. Yanga Yanga Yanga!!!
ReplyDeleteduuu chama langu lazima livunje record ya walugaluga tutashinda mechi zote...
ReplyDeletejamani mbona tuko nyuma sana , yanga hii mechi yangi inacheza hapo dar sija wahi kuona hii dunia kote bora turudi kukule vituo,na sita bora sikutane dar, TENGA UMEKUA KAMA HUKUCHEZA MPIRA PROGRAM YAKO MBOVU NA AMKA ULIPO LALA MPIRA NI SAYANSI SIO UMAARUFU
ReplyDeletekuku wako mwenyewe unamshikia manati!!!!. Toto waliambiwa mapema kwamba undugu wake na yanga ndio utamteremsha daraja.
ReplyDelete,,,,ivi kwanini wanaume wanasuka mabutu kama haya(sorry nywele) sana siku izi???,,,
ReplyDeletewake zenu wanyoe?