mwimbaji gwiji wa kilimanjaro band mabrouk omar a.k.a babu njenje akiwajibika usiku huu na bendi yake kwenye ukumbi wa 'manyoya' wa salender bridge club, akiwa fiti kabisa baada ya dhahama ya kuteguka mguu wake wa kushoto alipoteleza jukwaani wiki iliyopita. babu njenje kaiambia Globu ya Jamii kwamba maumivu ya enka aliyopata yametuama na kwamba kazi inaendelea kama kawa na mashabik wa njneje wasiwe na wasi
babu njenje akipiga mzigo kama kawaida yake usiku wa leo
babu njenje akipiga mzigo kama kawaida yake usiku wa leo
babu njenje karibu hapo ulikuwa unaimba hupandi gari la punda hapandi
ReplyDeleteKaribu tena babu njenje