


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kaka misoup ulifaidi viono vya kutosha je mama michuzi ulimpeleka au ulimuogopa md wa Jahaz asije akakwibia ahaaaaaaaaaaahaaaaaa
ReplyDeletehivi jamani bi Kidude ana umri wa miaka mingapi?she is amazing
ReplyDeleteMasikini mapafu ya bibi Kidude na hizo Fegi, Ankal unaangalia tuu sidhani kama umemshauri.
ReplyDeletekaka michuzi naomba tuweke hiyo nyimbo ya babu ayubu chaja ya kobe ama nifahamishe wapi na weza isikia
ReplyDeleteSijui umri wa Bi. Kidude ila kitu ninachokijua ni kuwa katika miaka ya 1930's alikwenda India na Siti binti Saadi kurekodi sahani ya santuri (records za gramaphone) kwa usafiri wa "steamer" baharini. Kwa hivyo, hata kama alikuwa na miaka 16 ina maana sasa atakuwa ana zaidi ya miaka 90. Aluu.
ReplyDeletemwanamke kidole juu
ReplyDeletemwanamke nyonga,makalio majaaliwa
mwanamke fulu kujiachia
mwanamke taarab
halooooo
...an old lady who needs a good rest. Surely, she must be getting a good proportion of the collections - otherwise it is utterly abusing her...
ReplyDeleteBi Kidude ana miaka 103, kwa mujibu wa mahojiano nilosikia wiki ilopita kati yake na Miriam Migomba wa TBC1
ReplyDeleteHaijulikani rasmi umri wa bi kidude,hata yeye mwenyewe hajui sababu hakwenda shule. Na kidude sio jina lake rasmi japo ndio analotumia hata katika paspoti yake. Alipata jina kidude alipokua mtoto mchanga ambapo mjomba wake(kaka wa mama yake) alikua ana penda kumtania dada yake( mama bi kidude) kwamba kutokana na umbo na vile alivyokua anaonekana kama kidude....huyu mtoto au kidude!??? basi kuanzia hapo ikawa kidude,kidude!
ReplyDeleteMdau wa Mon Mar 01, 09:59:00 AM,umenikumbusha mbali sana. Yule mwimbaji maarufu Siti binti Saadi aliyekuwa anaimba kwa mahadhi ya kihindi, kumbe alikwenda kurekodi India wakati huo wakipanda "steamer", umenifurahisha kweli kweli. Hivi yule mwimbaji mashuhuri wa Misri Um Kulthum yu hai? Nakumbuka alivyoulizwa ni lini utaacha kuimba, Um alijibu, "Nitaacha kuimba pale nitakapoona kuwa ukumbini hakuna mtu", nadhani huenda hii ndiyo ndoto ya Bi. Kidude
ReplyDeleteSIGARA ZINAUWA ZINAUWA.KIBIBI HICHO KINAVUTA NA MAPOSE KINAPENDA PICTURE NA GLAMORIUS KINOMA!
ReplyDeleteAnon wa 07:01, Um Kulthum alifariki dunia miaka mingi iliyopita.
ReplyDeleteHichi kibibi sasa kingetafuta radhi za mwenyezi mungu,umri umemtupa mkono anakula bonasi tu,ni vyema akarudi kwa mwenyezi mungu
ReplyDelete