bango la Nyumba ya Demokrasia
cheti cha muda cha CCJ
Msajili wa Vyama Mh. Peter Tendwa na viongozi wa CCJ
Msajili wa vyama vya siasa, Jaji John Tendwa (kuume) akimkabidhi cheti cha usajil wa muda, Mweyeiti wa Chama Cha Jamii (CCJ), Mh. Richard Kiyabo katika ofisi za msajili wa vyama vya siasa leo asubuhi. Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Renatus Muhabhi
Mwenyekiti wa CCJ, Mh. Richard Kiyabo (shoto) akipongezana na katibu wake Mkuu, Renatus Muhabhi mara baada ya kukabidhiwa cheti cha usajili wa muda. Chini wanahabari waliohudhuria halfa hiyo






Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupata usajili wa muda Mwenyekiti wa chama hicho, Mh. Richard Kiyabo amesema kuwa wanajipanga kwa ajili ya kuanza safari ya kwenda mikoani kwa ajili ya kupata wanachama 200 katika mikoa kumi


Wafuasi wa CCJ wakwa wamembeba Mwenyekiti wao.
Viongozi wa CCJ wakiwa na wafuasi wao wakiandamana kutoka katika ofisi za msajili baada ya kupata usajili wa muda.










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. hawa ni matapeli,wanatumia na wenye magazeti kupamba habari ili wauze magazeti.hamna kitu hapo.

    ReplyDelete
  2. dr. shayo, john mashaka, mwanakijiji, mwamvita, january,ridhiwani na wengine wengi, maneno ndo hayo, njooni muiongoze nchi sasa, kwazi kwenu, chama cha vijana
    CCJ
    CCj
    CCJ
    vijana ureeee,,,,,, ufisadi zzzzzzz

    ReplyDelete
  3. matapeli hawa,wanatafuta ulaji tu,alafu anatokea mjinga kama mwanakijiji anawatetea.jamani vyama vya upinzani tz ni ajira ya kudumu ya watu,ccm wanalamba kivyao na upinzani kivyao.tz bado sana siasa za kweli,si mnaona zito alivyojaribu kupigania ukweli,mwenyekiti akataka kummaliza.bongo bado,kila mtu njaa kuliko mwenzake

    ReplyDelete
  4. JK tupitishie hiyo sheria mara moja ili tuweze kuwabana watu kama hawa,wanaibuka na kuteka akili za watz,na kuzidi kuficha ukweli na kudidimiza siasa.

    ReplyDelete
  5. yametimia ...

    ReplyDelete
  6. kaka Michuzi, kwa nini huyu jamaa unamwita Mheshimiwa. He is not Mheshimiwa labda kama ni jaji, mbunge au balozi....

    ReplyDelete
  7. Hawa jamaa hawana lolote jipya. Ni watibuaji tu, ni mkakati maalum wa kuneutralize nguvu ya upinzani kipindi hiki ambacho wanajiandaa kuongeza uwingi bungeni.

    Kazi kweli kweli.

    ReplyDelete
  8. hakika tanzania tatizo siasa imezidi kuliko uchapaji wa kazi kuanzia wananchi hadi viongozi. kiongozi wa kweli ni yule ambaye anfanay kazi na wanachi na kutumia muda mrefu kwa wananchi. angalia uchaguzi october lakini mambo ya uchaguzi yameanza muda mrefu. namuunga sana raisi katika uchaguzi watu wasitumie pesa kama ni mtu mzuri na mchapa kazi hata pesa moja hahitajiki. mtu anayetumia pesa huyo ni hatari maana ana mambo yake. ila naomba raisi alifanyie kazi mwenyewe hili jambo ya kutumia pesa kwenye uchaguzi yaani rushwa itangazwe kuwa ni janga. MUNGU IBARIKI HAKI AMEN wasalamu mohammed

    ReplyDelete
  9. mchanga wa pwani, mchanga wa pwani!!!

    malizia mwenyewe hiyo Chorus ya 'Kocha wa Dunia'

    ReplyDelete
  10. Tunaomba Mungu isije ikawa tofauti ya chama hiki na tawala ni "letter" J tu.

    ReplyDelete
  11. Wadau,
    Habari hii ni nusu habari, je hawa viongozi wa CCJ kabla ya kusajili Chama walikuwa wana shughuli gani za kimaisha binafsi yao na kwa jamii iliyozunguka.

    Watanzania tuwe na tabia ya kujiuliza viongozi wetu wa kisiasa wametoka wapi, wana shughuli gani mbali ya siasa n.k

    Sasa ni wakati muafaka kuwajua historia zao kabla ya kuanza kuwashabikia au kujiunga na Chama walichosajili.

    Mdau Kisarawe

    ReplyDelete
  12. 030210
    "Chama Cha Maendeleo ya Hali ya Juu ya WATU (CHAMAHAJUUWA)"

    ReplyDelete
  13. a SATANIST (aka "MSOMI" mkongwe) kacharuka, duh

    ReplyDelete
  14. ooooh bukoba line hii

    ReplyDelete
  15. TOFAUTI NA CCM NI J AU M?

    ReplyDelete
  16. Kwa hiyo hawa tutawaita Chukuwa Chako Junguni ama?

    ReplyDelete
  17. Nawapongeza kwa kuamka na kuanzisha chama cha kisiasa. Polepole tutafika. Hao wanaokula kwa mgongo wa CCM wakiona watu wanaamka watafanya kazi vizuri. KUwa na vyama vingi vya kisiasa sio mbaya bora wanafuata sheria.

    Hawa watu kama waliona tunayoyaandaa humu kwetu. Na siye huku tunaanzisha chama tutachokiita Tanzanian Independent Patriot Party (TIPP). Mkutano wa kwanza tumepanga utafanyika April halafu tunakuja kukisajili mwezi wa sita.

    Purpose, Mission, Principles, Legacy, Platform ...Inakuja soon ....

    Mdau _ NY CITY

    ReplyDelete
  18. sample hiyo,

    Chama Cha Maendeleo ya Hali ya Juu ya Watu! (CHAMAHAJUUA)

    ReplyDelete
  19. Well done guys kama ccm imeweza kuanzisha matawi ya chama nje ya nchi kwnini visianzishwe vyama vingi tanzania? mwendo ndio huoooooooo CCJ CCJ...patamu hapo wakutane fans wa ccm na ccj ...

    itakua cc jm cc mj

    aand i likethe name sisi Je? Yeah waulizeni hao ccm na si si je ?????? Wamejisahau the more parties in the country the more the IQ

    ReplyDelete
  20. Ufisadi sio sera wala kauli mbiu. Wakija na gia hii watapotea kama CCm walivyopotea na kauli mbiu yao ya kuhamasisha kilimo na kazi badala yake wanalindana katika kuiibia nchi yetu na kuwakabidhi wageni. Tena bora wangeiibia Tanzania na pesa kubaki nazo wao,badala yake wanaiibia Tanzania na kuwapa wageni na wao kuambulia sifa za ukalimu. Ankal kama kawaida itie kapuni mwana CCM!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...