ankal na wadau wakiwa na mtangazaji wa Sporah show ya Ben TV hapa London, Bi Sporah Njau (kati) na mpiga picha wake (wa tatu shoto) wakati wa mkutano wa Diaspora 2. Fuatilia inyavyuu

More on Sporah Njau CLICK HERE

For More videos CLICK HERE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Ankal umetoka mtoko! suti yako safi kabisa kuliko za wote ninaowaona katika diaspora2. Unajua ukiwa unafanya Diaspora kama hii ndio nafasi ya kutangaza bidhaa za Tanzania ikiwa ni pamoja na mitoko ya kibongo. keep up kuitangaza Tanzania achana na madiaspora na kamba zao za shingoni! Nitakutafuta ukirejea Dar unielekeze kwa fundi au duka.

    ReplyDelete
  2. kaka nasikia na wewe ulimwaga sera zako haya tuwekee maana umetuwakilisha wengi usihofu ukanumba

    ReplyDelete
  3. intavyuu ndiyo njia nzuri kuliko zote za kupima "intelligency" ya mtu. Leo nimejifunza mambo kadhaa kuhusu huyu dada.

    ReplyDelete
  4. Ankal,

    Umenifurahisha kwa kumsaili huyo Dada na kumrusha hewani.Naamini atasisimua watanzania wengine wenye vipaji na shauku ya mafanikio. Nimepata bahati ya kuzungumza nae nikiwa kwenye Mkutano wa Diaspora hapa London. Nakiri kuwa yuko makini, anajua alipotoka na anapokwenda. Hajapoteza asili yake na utanzania wake moyoni huku akivaa taswira ya kisasa ya kumuwezesha kukubalika na kueleweka na hadhira (audience) yake iliyoko huku diaspora. Ni mfano wa kuigwa.Hawa ndio diaspora tunaowazungumzia.

    Sporah, nakutakia kila la kheri.

    Mdau,(Mpwa wa Ankal kutoka Foreign)

    ReplyDelete
  5. Waaooh..! very intelligent.Upo juu Spora wewe ni mfano wakuigwa na mabinti wengi wakitanzania
    Mungu akubari sana katika kila ufanyacho

    ReplyDelete
  6. Miguu hiyo sporah i'm loving them

    ReplyDelete
  7. Kwa kweli huyu jamaa aliyefanya hii interview nampa zake Pongezi amenifanya nimjue huyu Sporah kwani sikuwahi kumjua na kujua kama kuna watanzania wako juu kiasi hiki.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...